Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Wakubwa nina dada yangu anasumbuliwa sana na kilimi,anakohoa like hell.Hana raha kabisa,msaada wenu tafadhari
mpe pole sana dada yako. Mwambie aende hospital huwa wanakikata kama wakimchunguza na wakigundua ni kilimi.