Je ugonjwa wa pumu unapona?

Pumu ndio Athma? Kuna mdogo wangu ametumia mbegu za papai anazikausha, na kusaga then ule unga wake anachanganya na maji anakunywa, ametumia siku kumi na nne naona zimemsaidia maana alikua hawezi kupitisha siku hajanywa amnophiline na prednisolone lakini tangu amalize habanwi Tena kifua Kama zamani labda ujaribu hiyo.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Wadau ninahitaji kufahamu kama ugonjwa huu unapona, nina ndugu yangu anasumbuliwa sana.
Mpe pole kwa Niaba na pole na wewe pia
Asilimia hamsini ya wagonjwa wa Asthma(Pumu) ni kutokana na kurithi , ni hali ya kiafya ambayo huamshwa na allergy(sometimes non allergic) isio na matibabu ya moja kwa moja lakini hali hio inaweza kudhibitiwa na madawa pamoja na mgonjwa kupewa elimu mahsusi namna ya kuepuka visababishi kama vile kubadili mtindo wa kimaisha.
Good news ni kwamba ukishafahamu namna ya kuishi nao hautokusumbua mara kwa mara na kuingilia shughuli zako za kila siku...

Ni vyema mgonjwa kufuata maelekezo na kujua visababishi vya tatizo lake na hii itamrahisishia sana hali hio isimtokee mara kwa mara.
Nakazia hakuna tiba mbadala ambayo itauondoa huu ugonjwa zaidi ya kuzuia dalili zake tu , hivyo mshauri mgonjwa kuzingatia elimu na maelekezo anayopewa na watu wa maswala ya afya.
 
Pumu ndio Athma? Kuna mdogo wangu ametumia mbegu za papai anazikausha, na kusaga then ule unga wake anachanganya na maji anakunywa, ametumia siku kumi na nne naona zimemsaidia maana alikua hawezi kupitisha siku hajanywa amnophiline na prednisolone lakini tangu amalize habanwi Tena kifua Kama zamani labda ujaribu hiyo.

Pumu ndio hiyo Asthma

Ahsante kwa ushauri,Tutajaribu hii
 
Mpe pole kwa Niaba na pole na wewe pia
Asilimia hamsini ya wagonjwa wa Asthma(Pumu) ni kutokana na kurithi , ni hali ya kiafya ambayo huamshwa na allergy(sometimes non allergic) isio na matibabu ya moja kwa moja lakini hali hio inaweza kudhibitiwa na madawa pamoja na mgonjwa kupewa elimu mahsusi namna ya kuepuka visababishi kama vile kubadili mtindo wa kimaisha.
Good news ni kwamba ukishafahamu namna ya kuishi nao hautokusumbua mara kwa mara na kuingilia shughuli zako za kila siku...

Ni vyema mgonjwa kufuata maelekezo na kujua visababishi vya tatizo lake na hii itamrahisishia sana hali hio isimtokee mara kwa mara.
Nakazia hakuna tiba mbadala ambayo itauondoa huu ugonjwa zaidi ya kuzuia dalili zake tu , hivyo mshauri mgonjwa kuzingatia elimu na maelekezo anayopewa na watu wa maswala ya afya.

Ahsante

Mara nyingi hubanwa akikutana na Vumbi,akibeba vitu vizito au akifanya mazoezi
 
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri
Wadau ninahitaji kufahamu kama ugonjwa huu unapona, nina ndugu yangu anasumbuliwa sana.
Hilo tatizo liko damuni. Hurithiwa.ukigusa manyinya ya wanyama kama mbwa na paka au kunusa marashi makali au vumbi ngozi hututumuka.
Piga 0713 039 875 Dr Mussa kwa matibabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom