extremely trueWelcome to Chagga & Pareland where money is born
Karibu mwenye ufahamu zaidi juu ya hii mikoa miwili, Kiuchumi na Kijamii!
Mfano biashara ya maziwa unaweza nunua lita mia 700 had mia 800 lita nje ya mji ukileta mjini lita 1000.Kwanini Kilimanjaro mkuu
Mimi naisikia tu.Hahaaaa eti African chemistry! But iyo IPO mikoa yote Tanzania
Acha upimbi labda mbeya ya madibira au ushirika tukuyu ila sio mbaya city au Tundumambeya naifHam sana
mbeya hakuna hela n kilimo tu mbeya ukiwa na jero n bajeti ya cku mbili
sado ya nyanya buku jero,mboga fungu 100
Mwakani kwenye miezi ya mwanzo nitakuja moro kwa biashara na kilimo MUNGU akipendaShida ya kilimanjaro inahitajika nguvu ya ziada sana kutoboa, kiakili,kifedha na mengineo, ni mkoa wenye fursa nyingi lkn waliokutangulia kwenye seckta husika ndo wanaletaga ugumu, morogoro mji wa kawaida unaweza fanya shuhuli zaid ya moja bila tabu kilimo na biashra na ukatoboa vyote viwli kwa pamoja
unabishana na mm wakati nimekaa miaka 8 huko? tena nilikuwa mbeya mjin kwanzia a level had chuoAcha upimbi labda mbeya ya madibira au ushirika tukuyu ila sio mbaya city au Tunduma
mkuu umenicheshaKilimanjaro ilinganishwe na kichuguu
Hiyo miaka uliyokaa sio Leo wala kesho,sibishani ila nakushangaa.unabishana na mm wakati nimekaa miaka 8 huko? tena nilikuwa mbeya mjin kwanzia a level had chuo
jero bajeti ya cku 2 ukienda tukuyu ndio kabisaaa mkungu wa ndiz 2000 sasa kuna mzungko gan?
mwaka Jana nilokuwa hko MBNAHiyo miaka uliyokaa sio Leo wala kesho,sibishani ila nakushangaa.
Ndo maana ntakwambia hizo bei hazipo hata huko Tukuyu mashambani,tangu lini jiji likakosa mzunguko wa pesa?
Afu how comes sehemu isiyo na pesa kuwepo olmost financial instituitions? Acha porojo zungumza facts,mbona tuko MBEYA na tunafanya biashara na zinaenda,ww unadhani biashara gani itakwama ukianzisha?
Shida yako ni pesa au ni stend na nyumba kutokuwa organized? Do tthey have to do with yr income interests?mwaka Jana nilokuwa hko MBNA
mbeya hata ilikuaje jiji maana mipango mji n hovyo nyumba hazjaoangiliwa
vijumba vya tope at vpo mjini nenda uyole ya kati au iduda,
stand kuu ile ya zaman at ilikuwa stand ya jiji s aibu? mbeya hakuna hela
generally hakuna hela n kilimo tuShida yako ni pesa au ni stend na nyumba kutokuwa organized? Do tthey have to do with yr income interests?