Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
- Thread starter
- #41
JK hajakuwepo.
alikuwepo kabisa
JK hajakuwepo.
Hongereni watz. Maximo na fitna zake kwa kaseja ilikuw kikwazo kwa soka la bongo
Goli lenyewe
Ningekuwa mimi ningempongeza Mkapa aliyetekeleza kwa vitendo mapenzi yake kwa soka la bongo kwa kutujengea uwanja wa kisasa. Huyu JK ni msanii tu, sijaona kubwa alilolifanya kwa maendeleo ya soka la Tanzania. Alikuwa anamtetea Maximo hata pale ambapo alikuwa anavurunda waziwazi. Ni bora tu kwamba huyu kocha wa sasa analipwa na TFF, otherwise na huyu angeanza kumpangia kazi through Ridhiwani.Hongera Tanzania
Hongera Kikwete, tunaona matunda ya kazi yako nzuri ya kuhamasisha soka la Tanzani.
Hongera Kilimanjaro Stars.
Nakuunga mkono sana the dreamer. Maximo alichelewesha sana ushindi wa watanzania kutokana na tabia yake ya kutaka kutekeleza maslahi yake binafsi. Niliwahi andika gazetini kumtaka Maximo ajiuzulu lakini watu walinijia juu. Sikujua kwanini. Lakini leo nafurahia kuona kwamba kabla hata ya mwaka kuisha tangu Maximo aondoke, Kili star inachukua kombe.
Hii pia ni zawadi kwa Marehemu super Coach Mziray ambaye alituletea kombe hilo kwa mara ya mwisho mwaka 1994. Hatimaye limepatikana tena mwaka ambao ameaga dunia. Hongera Kili star, hongera Watanzania.
kweli, toka 1994 wakati wa marehemu Mziray mpaka leo ni muda mrefu mno....they need to be praised!!!Hongera zao maana mara ya mwisho kuchukua hiki kikombe ilikua 1994!
Hakuwepo, nasikia kikosi kilichokuja ni cha 3 kule kwao. ila hata hivyo ni kikosi kikali piawakuu Drogba hakuwepo?