Jamani mnaangalia wasanii wetu leo?
zinatolewa zawadi leo tunaiga ya oscars etc... kila nyanja leo
Nimesikitika sana kumuona TID badala ya kuimba na kuwaburudisha mashabiki jamaa anaomba hela kwa kulazimisha
Binafsi nilifurahishwa na perfomance ya BANANA,AY,NAMELESS,BLU3 na THT
Kuhusu matokeo kila mwaka wanachemka Dogo Mfaume alitakiwa ashinde tuzo zaidi ya moja
Mimi nilimpa tuzo zooote.....aisee kutoa kiwanja na nyumba ya kinyerezi sioni taabu kwa haka ka angeris.....Yo Yo, Angeris hakupata tuzo ya klm?
Mimi nilimpa tuzo zooote.....aisee kutoa kiwanja na nyumba ya kinyerezi sioni taabu kwa haka ka angeris.....
Ingependeza uwe meneja wake na kumuinua zaidi kimuziki,mara ya kwanza nilimwona BSS anatokea A-town!..
Big up to Chidi Benz,kaka ana sauti nzito na nzuri. Collabo yake na Mwasiti kwenye 'Hao' ni safi halafu na kwenye 'Bado umenuna' kashirikishwa na Marlaw.