Kilimanjaro Music Award Bado Ipo?

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Kilimanjaro Music Award bado ipo? Je Sponsor bado ni Kilimanjaro Premium lager? Kuna award zozote za music , film or media kubwa Tanzania kwa maana ya mikoani au taifani?

Asanteni
 
HAIWEZI KUWEPO MKUU KWA NCHI AMBAYO KILA MSANII ANAJIONA ANASTAHILI KUWA MSHINDI WA TUZO HUSIKA AMA SIVYO WAMEPENDELEA
 
Sahivi Awards zimebaki za Filamu. Mfano Azam naona wana Awards zao, nazo wasanii wanazilalamikia kinoma.

Muziki kama Muziki kila mtu anajiita King sahivi, kwahiyo watagemea tu Awards kutoka nje.
 
Tatizo la hizi tuzo lilianzia kwenye maslahi ya media kubwa ya Clouds kufanya monopoly ya kila kitu. Ikawa ukigombana na Clouds na tuzo haupati. Sasa imagine top ten zetu za media karibu zote wimbo wa Sukari wa Zuchu haujawai kushika hata namba 10 unategemea hao watu wakikaa kuchagua nominees na washindi si itakuwa uongo uongo tu.

Sasa hivi media zina wasanii wao wadau wa entertainment wana wasanii wao dhambi ya ubaguzi iliyoanzia Clouds na East Africa radio imezaa wajukuu na imeua muziki.

Nakumbuka mwaka flani Diamond alipata tuzo ya MTV na Chanel O lakini hakupata hata tuzo moja ya tuzo za Eastafrica radio.
 
Tatizo la hizi tuzo lilianzia kwenye maslahi ya media kubwa ya Clouds kufanya monopoly ya kila kitu. Ikawa ukigombana na Clouds na tuzo haupati. Sasa imagine top ten zetu za media karibu zote wimbo wa Sukari wa Zuchu haujawai kushika hata namba 10 unategemea hao watu wakikaa kuchagua nominees na washindi si itakuwa uongo uongo tu. Sasa hivi media zina wao wadau wa entertainment wana wasanii wao dhambi ya ubaguzi iliyoanzia Clouds na East Africa radio imezaa wajukuu na imeua muziki.

Nakumbuka mwaka flani Diamond alipata tuzo ya MTV na Chanel O lakini hakupata hata tuzo moja ya tuzo za Eastafrica radio.
Uko sahihi kwa sehemu kubwa, bwana Ruge Mutahaba amevuruga sana tasnia ya muziki bongo!
 
Back
Top Bottom