Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Kilimanjaro Music Award bado ipo? Je Sponsor bado ni Kilimanjaro Premium lager? Kuna award zozote za music , film or media kubwa Tanzania kwa maana ya mikoani au taifani?
Asanteni
Asanteni
Sasa hiv tuna king wa followers na king wa u tube tuu cjui na boomplay hizo tuzo hawazielew kila mmoja mshind sasa Kilimanjaro amepumzika
Kabisaa yaanHahaaa wamedata na hayo mambo
Na Kingi wa Kuoneshana Nani Ana KubwaSasa hiv tuna king wa followers na king wa u tube tuu cjui na boomplay hizo tuzo hawazielew kila mmoja mshind sasa Kilimanjaro amepumzika
Uko sahihi kwa sehemu kubwa, bwana Ruge Mutahaba amevuruga sana tasnia ya muziki bongo!Tatizo la hizi tuzo lilianzia kwenye maslahi ya media kubwa ya Clouds kufanya monopoly ya kila kitu. Ikawa ukigombana na Clouds na tuzo haupati. Sasa imagine top ten zetu za media karibu zote wimbo wa Sukari wa Zuchu haujawai kushika hata namba 10 unategemea hao watu wakikaa kuchagua nominees na washindi si itakuwa uongo uongo tu. Sasa hivi media zina wao wadau wa entertainment wana wasanii wao dhambi ya ubaguzi iliyoanzia Clouds na East Africa radio imezaa wajukuu na imeua muziki.
Nakumbuka mwaka flani Diamond alipata tuzo ya MTV na Chanel O lakini hakupata hata tuzo moja ya tuzo za Eastafrica radio.
Na Kingi wa Kuoneshana Nani Ana Kubwa