Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,461
- 25,634
Kuna moto unafuka
Maoni ya taazeze utayajua tuuWaislam ni threat kwa serikali na taifa hili. BAKWATA wakishindwa kuwanyong'onyeza wasiimarike zaidi kupitia miundombinu kama shule, serikali inapiga kazi yenyewe, hatutaki ujinga sisi.
Unamawazo mfuWanahujumiana hao....mwisho wa mgogoro huu utaibuka ugomvi wa wazi......hapo itakua mbaya sana
Serikari najua inapita humuWaislam ni threat kwa serikali na taifa hili. BAKWATA wakishindwa kuwanyong'onyeza wasiimarike zaidi kupitia miundombinu kama shule, serikali inapiga kazi yenyewe, hatutaki ujinga sisi.
Tongotongo kichwani.Kuna shida mahala, hasa kwa ndugu zetu Waislam nadhani kuna jambo hawaridhiki nalo.
Asi holTongotongo kichwani.
Hapa unamaanisha wakristo ndio wamewachomea shule yenu?.acha kutoa povu subir matokeo yake !
unadahani tumesahau kauli kauli za yule kafir kipindi kile kanisani kwake au unadhani waislam tumelala saaaaana eh ?
Wewe inaonekana unajua kinachoendelea katika haya matukioWaislam ni threat kwa serikali na taifa hili. BAKWATA wakishindwa kuwanyong'onyeza wasiimarike zaidi kupitia miundombinu kama shule, serikali inapiga kazi yenyewe, hatutaki ujinga sisi.
Gwajima ni askofu, rafiki wa waislam. Kamwe hawezi fanya hivyo. Hiyo kauli yake ilimaanisha, neno la Mungu litahubiriwa kwa nguvu na kila kona ya Tanzania itasikia. Hapo yamkini hata watu wa imani nyingine watampa Yesu maisha yao.Sio gwajima ameanza mchakato wa kuzogeuza kuwa shule za jumapili kama ambavyo aliwahi kutamka.
Ila wamiliki nao wanapaswa kutuambia nenoKama serikali imeshindwa kujua chanzo wakubali kualika vyombo vya nje vyenye uwezo sasa. Hii inasikitisha mno
Mi siyo moslem but napingana na unachokisema. In my opinion wamiliki wa shule hizi ni wazembe na hawana mifumo ya control, aidha hawatii weredi katika shughuli zao bali undugu katika imaniWaislam ni threat kwa serikali na taifa hili. BAKWATA wakishindwa kuwanyong'onyeza wasiimarike zaidi kupitia miundombinu kama shule, serikali inapiga kazi yenyewe, hatutaki ujinga sisi.
Anakuaje rafiki wa majini(rejea kauli yake dhidi ya uislamu)Gwajima ni askofu, rafiki wa waislam. Kamwe hawezi fanya hivyo. Hiyo kauli yake ilimaanisha, neno la Mungu litahubiriwa kwa nguvu na kila kona ya Tanzania itasikia. Hapo yamkini hata watu wa imani nyingine watampa Yesu maisha yao.
Ndio maana shule zinaungua?Ilimu duniya ni haramu
usitutishe gwajima mkubwa wewe.Ila mnachotutafuta waislam mtakipata ...
Laiti angekujua wee ni nani?Huna hoja mnaandika hisia tu.