Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Nov 8, 2011 #181 sijawahi kusikia au kuona `ukombozi` bila ya kumwaga damu!
trachomatis JF-Expert Member Joined Jun 7, 2011 Posts 3,758 Reaction score 746 Nov 8, 2011 #182 Amandlaaa........
trachomatis JF-Expert Member Joined Jun 7, 2011 Posts 3,758 Reaction score 746 Nov 8, 2011 #183 Emanuel Makofia said: sijawahi kusikia au kuona `ukombozi` bila ya kumwaga damu! Click to expand... Mapinduzi halisi yanakuja. We ngoja waTZ wajaribiwe kwa kutopewa Katiba Mpya tena ya kwao wenyewe halafu uone kivumbi.
Emanuel Makofia said: sijawahi kusikia au kuona `ukombozi` bila ya kumwaga damu! Click to expand... Mapinduzi halisi yanakuja. We ngoja waTZ wajaribiwe kwa kutopewa Katiba Mpya tena ya kwao wenyewe halafu uone kivumbi.
S shy town boy Member Joined Nov 7, 2011 Posts 17 Reaction score 4 Nov 8, 2011 #184 trachomatis said: Mapinduzi halisi yanakuja. We ngoja waTZ wajaribiwe kwa kutopewa Katiba Mpya tena ya kwao wenyewe halafu uone kivumbi. Click to expand... Watanzania wote ni mafisadi kama serikali yao hivyo hawawezi kufanya mapinduzi yeyote hata ya kumuondoa mwenyekiti wa Mtaa. Kwa hili la Arusha CDM wamefeli ama wamekufa kifo cha mende kwa kusalitiwa na Nguvu ya umma ambayo ni tegemeo lao.
trachomatis said: Mapinduzi halisi yanakuja. We ngoja waTZ wajaribiwe kwa kutopewa Katiba Mpya tena ya kwao wenyewe halafu uone kivumbi. Click to expand... Watanzania wote ni mafisadi kama serikali yao hivyo hawawezi kufanya mapinduzi yeyote hata ya kumuondoa mwenyekiti wa Mtaa. Kwa hili la Arusha CDM wamefeli ama wamekufa kifo cha mende kwa kusalitiwa na Nguvu ya umma ambayo ni tegemeo lao.