Kilichotakiwa kujengwa Mbezi Mwisho hiki hapa. TANROADS mnakosea wapi?

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Mchoro sio halisi. Lakini unaakisi eneo la mbezi mwisho.

Mchoro wa sasa unaonyesha mbezi mwisho kunawekwa mataa kati ya njia ya goba-kinyerezi vs morogoro - dar city.

Wadau mbalimbali wanaona kama ni kuihamisha foleni ya ubungo na kuiweka mbezi mwisho.


Wadau wanaomba Tanroad ambaye ndio washauri wa mkandarasi wafanye upya mawazo yao ili kunusuru matumizi mabaya ya kodi za wananchi

Kama kuna mtu wa Tanroad hapa anaweza eleza kwa umakini sababu za kuweka mataa mbezi mwisho.

20190908_174159.jpeg
 
Kwa kuongea tuu hamjambo aisee...
Hivi kama kweli ulisoma hesabu hivi pale mbezi kuna eneo la ukubwa wa kujenga hivyo?
Kukokosoa ni jambo ambalo ni rahisi sana!
 
Mkuu hizo round about 2 zimesha jengwa.. ni kitendo cha kuweka underpass morogoro road.

Tembelea mbezi mwisho utaona mkuu.. usione kama watu wanapinga..

Tunaupenda sana mradi huu na hongera nyingi kwa Rais Magu.. lakini unaweza boreshwa na kuwa mradi bora zaidi.

Kuna mambo ambayo hata hayahitaji fedha au yanaweza fanyika kwa gharama ndogo kuliko mambo mengine yanayo fanyika na yakasolve matatizo ya foleni.

Kinacho takiwa ni kutafuta solution ya msongamano wa magari ya muda mrefu.
Kwa kuongea tuu hamjambo aisee...
Hivi kama kweli ulisoma hesabu hivi pale mbezi kuna eneo la ukubwa wa kujenga hivyo?
Kukokosoa ni jambo ambalo ni rahisi sana!
 
Mkuu nadhani tunaona vitu kwa mtazamo tofauti.
Naona unaona huo mchoro kama urembo..
Wengine hata rangi za huo mchoro hawazioni ila wanaona nini kinatatuliwa na huo mchoro.
Bahati mbaya hata mwenyewe sioni huo mchoro kwa uzuri wake bali kama solution.


👏👏👏👏
 
Mchoro sio halisi. Lakini unaakisi eneo la mbezi mwisho.

Mchoro wa sasa unaonyesha mbezi mwisho kunawekwa mataa kati ya njia ya goba-kinyerezi vs morogoro - dar city.

Wadau mbalimbali wanaona kama ni kuihamisha foleni ya ubungo na kuiweka mbezi mwisho.


Wadau wanaomba Tanroad ambaye ndio washauri wa mkandarasi wafanye upya mawazo yao ili kunusuru matumizi mabaya ya kodi za wananchi

Kama kuna mtu wa Tanroad hapa anaweza eleza kwa umakini sababu za kuweka mataa mbezi mwisho.

View attachment 1202917
UKO VIZURI SANA DADA YAANI HADI RAHA HAKA KAMCHORO KAPO POA SANA
 
Kwa kuongea tuu hamjambo aisee...
Hivi kama kweli ulisoma hesabu hivi pale mbezi kuna eneo la ukubwa wa kujenga hivyo?
Kukokosoa ni jambo ambalo ni rahisi sana!
Ule bomoabomoa uliofanyika Kimara/Mbezi tuliambiwa ile barabara ina mita 245 (zaidi ya viwanja viwili vya mpira), sasa ukubwa huo hautoshi kujenga hicho anachosema mtoa mada?
 
Mchoro sio halisi. Lakini unaakisi eneo la mbezi mwisho.

Mchoro wa sasa unaonyesha mbezi mwisho kunawekwa mataa kati ya njia ya goba-kinyerezi vs morogoro - dar city.

Wadau mbalimbali wanaona kama ni kuihamisha foleni ya ubungo na kuiweka mbezi mwisho.


Wadau wanaomba Tanroad ambaye ndio washauri wa mkandarasi wafanye upya mawazo yao ili kunusuru matumizi mabaya ya kodi za wananchi

Kama kuna mtu wa Tanroad hapa anaweza eleza kwa umakini sababu za kuweka mataa mbezi mwisho.

View attachment 1202917
Hicho kwa kuanzia ni kitu kikubwa sana. ngoja tuongeze wafanyakazi Mishahara kwanza. Hayo tutafanya baadae.
 
Kwa kuongea tuu hamjambo aisee...
Hivi kama kweli ulisoma hesabu hivi pale mbezi kuna eneo la ukubwa wa kujenga hivyo?
Kukokosoa ni jambo ambalo ni rahisi sana!

Hujafika Mbz mwisho rafiki...!, kila kitu kimejengwa isipokuwa ilitakiwa kunyanyua barabara ya Goba, kidogo tuu, na Morogr ipite chini, ni hilo tu. Kwa kweli wataalam hawakufikiria vya kutosha na kwa kweli kuweka mataa pale watatengeneza foleni ya ajabu sana ambayo ingeweza kuepukwa kwa gharama kidogo sana
 
Kwa kuongea tuu hamjambo aisee...
Hivi kama kweli ulisoma hesabu hivi pale mbezi kuna eneo la ukubwa wa kujenga hivyo?
Kukokosoa ni jambo ambalo ni rahisi sana!

Hujafika Mbz mwisho rafiki...!, kila kitu kimejengwa isipokuwa ilitakiwa kunyanyua barabara ya Goba, kidogo tuu, na Morogr ipite chini, ni hilo tu. Kwa kweli wataalam hawakufikiria vya kutosha na kwa kweli kuweka mataa pale watatengeneza foleni ya ajabu sana ambayo ingeweza kuepukwa kwa gharama kidogo sana
 
Kwa kuongea tuu hamjambo aisee...
Hivi kama kweli ulisoma hesabu hivi pale mbezi kuna eneo la ukubwa wa kujenga hivyo?
Kukokosoa ni jambo ambalo ni rahisi sana!
Hizo round about mbili tayari zimeshajengwa bado hiyo over pass.
 
Mchoro sio halisi. Lakini unaakisi eneo la mbezi mwisho.

Mchoro wa sasa unaonyesha mbezi mwisho kunawekwa mataa kati ya njia ya goba-kinyerezi vs morogoro - dar city.

Wadau mbalimbali wanaona kama ni kuihamisha foleni ya ubungo na kuiweka mbezi mwisho.


Wadau wanaomba Tanroad ambaye ndio washauri wa mkandarasi wafanye upya mawazo yao ili kunusuru matumizi mabaya ya kodi za wananchi

Kama kuna mtu wa Tanroad hapa anaweza eleza kwa umakini sababu za kuweka mataa mbezi mwisho.

View attachment 1202917
Hujui kitu wewe,kaa kimya
 
Back
Top Bottom