kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
Habari za asubuhi wana jukwaa.
Wiki hii katika pita pita zangu humu JF nilikutana na uzi wa @Tuliowahi kuvamiwa na majambazi tukutane hapa sasa mimi na kiherehere changu nikafungua nikaanza kusoma comments za wadau😄
Sasa jana usiku nimelala nikaota tumepanda gari, tukavamiwa na wezi njiani wana mapanga na siraha nyingine, kuna huyo jirani yangu ni mdada akawa anaambiwa awape hela na simu si awaka anagoma wakamkata kidole, sasa wakahamia kwangu nilikuwa nimevaa saa mkononi, si huyo mwizi mmoja akaanza kunipiga na fyekeo nikawa nalidaka huku navua hiyo saa nimpe, wakanichukue saa na simu zangu na pesa na bado wakawa hawajashuka kwenye gari abiria utakayepanda unakutana nacho😁😁
Wiki hii katika pita pita zangu humu JF nilikutana na uzi wa @Tuliowahi kuvamiwa na majambazi tukutane hapa sasa mimi na kiherehere changu nikafungua nikaanza kusoma comments za wadau😄
Sasa jana usiku nimelala nikaota tumepanda gari, tukavamiwa na wezi njiani wana mapanga na siraha nyingine, kuna huyo jirani yangu ni mdada akawa anaambiwa awape hela na simu si awaka anagoma wakamkata kidole, sasa wakahamia kwangu nilikuwa nimevaa saa mkononi, si huyo mwizi mmoja akaanza kunipiga na fyekeo nikawa nalidaka huku navua hiyo saa nimpe, wakanichukue saa na simu zangu na pesa na bado wakawa hawajashuka kwenye gari abiria utakayepanda unakutana nacho😁😁