ni kawaida ukiwa sirari tarime unaweza tumia minara ya kenya fresh sana na sio simu tu hata pesa ya kenya wanaikubali unawwza fanyia manunuzi bila shida hali kadharika ukiingia insbania country ya migori kenya unaweza tumia minara ya Tz au kenya na pesa ya Tz wanaikubali poa kabisa