Kilichonikuta


lol! Hahahaha nilikuwa sijui kama kuna kubembeleza kwa design 🙂 🙂



QUOTE=FP;6293837]ha haaaa, rafiki salama tu....
hofu kwako.
ndo umekuja kutubembeleza kidisaini hii?[/QUOTE]
 
Hahahah...usicheke sana bhanaa unajua kuna wakati mwingine inabidi tu tusiwe wapole

hahahahahahahahahahahhahaha maneno kuntu aisee nimecheka mpaka bosi wangu kanifuata hapa
 
Sasa bi dada unachoshangaa ni kipi, maana hata wewe ndani ya maelezo naona umebebwa kama ubwabwa wa shughuli.
Sioni mahali kuwa ulifunga ndoa, bali umesema ulizaa tu na huyu kifanyio dind.a.
Hivyo kaa hapo hapo bi dada lea wana wa wanawake wenzako.
ahahahhahahahha hii ntakukumbusha ukizeeka !
 
CHUKUA MAAMUZI YA BUSARA KWA FAIDA YA MWANAO NA WEWE MWENYEWE. FANYA YAFUATAYO
  • Angalia umri wako na malengo yako ya mbele
  • weka mikakati thabiti ya kumlea mwanao[coz mume wako haeleweki]
  • Pima afya yako na ujilinde
  • Muombe mungu sana[Kama una imani kwamba mungu yupo]
 
FP labda unitafsirie hii thread labda nimeanza kuwa kilaza jamani,ana mtoto hadi wa chuo?????? Na mlikutana chuo????? duu inaelekea bidada kapendana na fataki aiseee.
 
Last edited by a moderator:
Jaribu kumdadis huyo huyo aliyekwambia hayo kuhusu mama yao mmoja au.....,daaaah hiyo ni kali na magonjwa nje nje!
 
FP labda unitafsirie hii thread labda nimeanza kuwa kilaza jamani,ana mtoto hadi wa chuo?????? Na mlikutana chuo????? duu inaelekea bidada kapendana na fataki aiseee.
HA HAAA, tena fataki asilolijua rangi wala size, lol!
 
Nashukuru kwa ushauri wenu wapendwa lkn kwa wanaosema mpnz mzr si masoni kumbuka hakuna mahali pameandikwa kuwa hapa kuna mpnz ya kweli, hutokea tu ukabahatika kwan si mtaani,makazin hata wapi km uongo upo upo tu kikubwa ni kumuomba mungu. asanten
 
...Pole dada....kama amekuomba msamaha na umeridhia...endelea kumpenda...ila ufanye udadisi wa kina....isijekuwa kuna wengine wako kabatini (usikojua)...ndoa mlishafunga? au mwaishi tuuuuu....?
 

Hata kama ingekuwaje yakupasa kulivua pendo. Wewe bado umri wako unaruhusu kuanza maisha mengine utakayo yafurahia, la sivyo unatafuta ugonjwa wa moyo hapo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…