Kilichonikuta usiku huu jamani

Kilichonikuta usiku huu jamani

Pole sana hyo hali m huwa inanikuta nikichelewa Sana kulala ,pale napoanza kusinzia tu na yenyewe inatokea....Cha kukushauri usichelewe sana kulala inaweza saidia
 
Hiyo kitu inatesa sana mimi juzi tu mchana imenidaka,nilijitaidi kuamka nkashindwa nikaona hiki ndo kifo sasa nikatulia nitoweke gafla punde ikaniachia,wajuzi husemaga ni ufahamu unakua uko active(ubongo) wakati huo mwili umelala....hapa ndo wataalam wa kutoka nje ya mwili kwa roho hufanya yao na kuacha mwili umelala bado.
 
Kumbe ni ka kike
hahahahahahahahahhahahah contert ya mada inatoka kwa jinsia ya kike mm nimebashiri tuu ki hivyo ila sijamaanisha aseeeeeeeee kuwa ******************************************** oi
 
hii ilikuwa inanitokea siku nikinywa sana pombe then next day ya hang over napatwa na hali hiyo dah sitaki tena pombe
 
Jinamizi :
Kabla ya kulala :
1.Sali Kabla na baada ya kulala
2.Usilale chali
3.Kunywa maji mengi.
4.Usilale bila kuoga (tendo la mwisho Kabla ya kusali na kulala liwe kuoga)


Ukizingatia hayo halafu ukapalalaizi tena bac mi cjui unaumwa nn.... Mtafute mshana
ukisali tu bila kufanya hayo mengine vp sala inafeli???
 
hiyo kitu haina tiba mkuu, imenitesa for almost 15 years. Nilikua naadhirika sana bwenini napiga makelele usiku yaani acha tuu. Chamsingi usile sana usiku, hii mbinu nimejaribu na hiyo hali haijanitokea karibia mwaka sasa. Ikiwezekana usile kabisa usiku.
acha uongo ,kelele???? ile hali sauti haitoki hata kidogo
 
Habari za usiku
Hivi kuna mtu anayefaham sleeping paralysis mara nyingi utokea ukiwa umelala sana kuna hali inakuja ya kutaka kuongea na kushindwa katika usingizi

Hivi hii hali na inaweza kutibika jamano
Hii kitu inanitokeaga sana. Unakuwa umelala, unataka kuamka au hata kuongea inashindikana unatamani kama kuna mwenzako ajue shida hiyo lakini hawezi kwani huwezi hata kujitingisha. DAWA; Sijawahi kuuliza dawa ila HUWA NAVUTA PUMZI NYINGI/ NAPUMUA KWA NGUVU HATA MARA SABA tayari ninapata uwezo wa kujigeuza na kuongea. Baada ya kusoma biology nikagundua mtu anakuwa ana pata kiazi kidogo cha oxgen kwa hiyo UKIVUTA PUNZI KWA NGUVU unakiongeza.
 
acha uongo ,kelele???? ile hali sauti haitoki hata kidogo
nime experience sleep paralysisi sana tuu mkuu usinibishie.
1)hua kama mwili unakufa ganzi huwezi kujitikisa hata kidole
2) huwezi kutamka maneno kiurahisi but sauti hua inatoka sana

Labda kuna aina tofaut za SP
 
nime experience sleep paralysisi sana tuu mkuu usinibishie.
1)hua kama mwili unakufa ganzi huwezi kujitikisa hata kidole
2) huwezi kutamka maneno kiurahisi but sauti hua inatoka sana

Labda kuna aina tofaut za SP
hahaahaaa yani ile hali sauti itoke tena sana ,basi hiyo yako ni tofauti sana,kwa kawaida mtu anajitahidi kutoa sauti lakini hata tone la sauti halitoki.wewe ulikua unaota haukuwa kwenye sleep paralyisis
 
Kama uyo kwa avatar niwewe na bado umelala ngoja nije nikupe tiba mama la mama,maana hii imenisikitisha sana
 
Unatembelewa na walozi na wachawi kua makini soon mambo 6 yako yataanza kuharibika km ayajaanza maana awanaga mda wa kupoteza jifunze kusali kabla ujalala silaa tosha.
 
Habari za usiku
Hivi kuna mtu anayefaham sleeping paralysis mara nyingi utokea ukiwa umelala sana kuna hali inakuja ya kutaka kuongea na kushindwa katika usingizi

Hivi hii hali na inaweza kutibika jamano
Sleep paralysis sio kwa ajili ya kukudhuru ni kwa ajili ya kukulinda endapo ikitokea unaota ndoto zinazopelekea mwili wako kutaka kutenda kutokana na ndoto issue inayoweza pelekea ukadondoka toka kitandani, au ukajiNg'ata usingizini, kwa hiyo ukilala tu mwili unaparalyse misuli inajam haiwezi kumove,
 
Pole sana...

Hiyo kitu ni hatari sana... unasikia, unaona lakini huwezi fanya chochote...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom