Kilichonikuta usiku huu jamani

Kilichonikuta usiku huu jamani

Mengine jibu kwa kiswahili, ni nafuu kwa afya ya ubongo wako
Dah sio poa.
Mtu akikosea arekebishwe asirudie makosa. Kila mtu anakosea tena si kingereza tuu hadi kiswahili watu wanakosea. Ila njia nzuri ni kumrekebisha pale ulipoona kosa.
 
Dah sio poa.
Mtu akikosea arekebishwe asirudie makosa. Kila mtu anakosea tena si kingereza tuu hadi kiswahili watu wanakosea. Ila njia nzuri ni kumrekebisha pale ulipoona kosa.
Hujambo best??? 😀😀😀😀
 
Habari za usiku
Hivi kuna mtu anayefaham sleeping paralysis mara nyingi utokea ukiwa umelala sana kuna hali inakuja ya kutaka kuongea na kushindwa katika usingizi

Hivi hii hali na inaweza kutibika jamano
Embu malizia kulala kwanza ukiamka ndo uje kutuambia ilikuwaje kuwaje maana kuna kifungu kwenye usingizi umekiacha
 
hiyo kitu haina tiba mkuu, imenitesa for almost 15 years. Nilikua naadhirika sana bwenini napiga makelele usiku yaani acha tuu. Chamsingi usile sana usiku, hii mbinu nimejaribu na hiyo hali haijanitokea karibia mwaka sasa. Ikiwezekana usile kabisa usiku.
 
Habari za usiku
Hivi kuna mtu anayefaham sleeping paralysis mara nyingi utokea ukiwa umelala sana kuna hali inakuja ya kutaka kuongea na kushindwa katika usingizi

Hivi hii hali na inaweza kutibika jamano
HERUFI KUBWA ZIKO WAPI?
 
Back
Top Bottom