VODACOM TZ wanajidai kutoa rambirambi kwa wahanga wa Z'bar hivi tuwaeleweje?au hizo 100,000 walishindwa kuzivumilia wakashindwa kuahirisha shindano uchwara?usanii mtupu hakukuwa na kipya sanasana inazidi kutoa washindi ambao tuna wasiwasi na uwezo wao wa kucompete miss world