Huyo anaongoza taifa gani?Ukiwa kiongozi wa taifa haya hayaepukiki.Mbona Nyerere tunamjadili mambo yake mengi hamsemi ni ya familia.
Msiwaonee wivu ndugu zenu na muwasamehee wakijikweza.Mkuu point yako ni nini hasa?
Ndugu zake ni wote wanaomuamini kristo so hata kuna mmoja alifiwa na dada yake lkn hakwendahakuhudhuria msiba wa ndugu?
Acha uongo wewe unawajua kweli.Wewe unawajua waliohai.Kwanza aliyewasomesha wote hadi huyo askofu ndiyo mkubwa na alishafariki.Kwa idadi wanaweza kufika watano na wengi wamekufa.Nenda sumbawanga eneo linaitwa mwazye,Ninga,Katazi kule upate historia zaidi ya mtawa huyu.Hii ni chai takatifu,pengo kwao wamezaliwa wawil tu,yeye na dada yake,huyo dada yake ni msomi na anapesa chafu...sasa huyu jamaa na hii story yake sjui kaitoa wap
Hujui ndiyo maana unabishia.Hata mie nashangaa kwani najua ana dada yake tu sasa hao ndugu wamwipamba sijui wanatokea wapi!
basiii itakuw anaroho mbaya sana”.mdogo wake tu kamfanyia hvyo "je akidhulumiwa na mtu Baki ?? bila shaka atamla nyamaMtumishi wa Mungu anakisirani kiasi hicho vipi sasa watumishi wa kawaida itakuaje?
Naona anataka kusema magari yote ambayo hayajabarikiwa na Pengo yatapiga mzinga na wenye nayo kufa.Mkuu point yako ni nini hasa?
Me mwenyewe nimeshindwa kumuelewa aisee, , ivi viroba wanapata wapi hawa wakati vimepigwa marufuku? eti MLA PANYA SWANGA mnapata wapi virobaMkuu point yako ni nini hasa?