tumsitiri pia ndugu yetu jamaniMtaje jina bana
kweli aisee Sema dunia inarudia enzi za sodomaTungelikua na imani hata ndogo kama punje ya haradani tugeuambia mti n'ooka na ukatii
noma kweliAhahahahaha
nakuonaFirst seat
Mm niko busy na avatar zako tu hii week.Na Kuna msemo wa wajinga ndiyo waliwao..
kwa sauti ya Faiza Foxy au sioNa Kuna msemo wa wajinga ndiyo waliwao..
hakikaNa Kuna msemo wa wajinga ndiyo waliwao..
tujiulize TU ? Vipi umewahi kuona kipofu kapona? Kwenye mkutanoHaya mambo ni magumu
noma sanaTeh teh teh...
Co kwa imani zetu hizi za Sasa muombaji mwenyewe hana hata yakini kwa akiombachoShida ni kwamba watu hawasomi biblia, sio kila maiti inafufuliwa ila mpaka upate kibali cha roho mtakatifu, na ukipewa kibali kutoka juu jua wazi kuwa kuna watu Mungu anawatafuta watubu dhambi zao na kumkiri kuwa Yesu ni Bwana zaidi ya mabwana
Aisee..hao sasa ni viaziWalipomkubali tu Beyonce kuwa ni mungu wao akizindua dini na biblia yake na wakaenda kumuabudu hadi wakajaza kanisa ilihali ni Mtu wa kawaida tu aliyecheza uchi weee...miaka nenda rudi ndipo nilipojua kuwa Wajinga ni wengi sana kuliko wenye akili timamu duniani
Nadhani suala hapa ni imani haba kutokana na matendo machafu yanayo endelea hivyo kudhoofisha ule uwepo Wa karibu na MwenyeziBaathi ya wachungaji wa siku hizi wengi wao sio wakweli wanatumia njia mbalimbali il wawe na waumini wengi
Na bado soon utaskia NABII KANYE OMARY WESTWalipomkubali tu Beyonce kuwa ni mungu wao akizindua dini na biblia yake na wakaenda kumuabudu hadi wakajaza kanisa ilihali ni Mtu wa kawaida tu aliyecheza uchi weee...miaka nenda rudi ndipo nilipojua kuwa Wajinga ni wengi sana kuliko wenye akili timamu duniani
Hao wachungaji wa kweli huwa wanafufua watu,kuleta utajiri,vilema kuembea na vipofu kuona ?Baathi ya wachungaji wa siku hizi wengi wao sio wakweli wanatumia njia mbalimbali il wawe na waumini wengi
Ushawahi kuona mtu akifufuliwa ?Kama unaamini zilitabiriwa basi na ufufuo...upo ila upate kibari toka kwa Mungu..
tatizo ni kuwa wachungaji wengi wanaamini dini ya kweli ni miujiza pekeeHao wachungaji wa kweli huwa wanafufua watu,kuleta utajiri,vilema kuembea na vipofu kuona ?
Au tunawajuaje Wachungaji wakweli ?