Kilichofutikwa ni uvundo

Kilichofutikwa ni uvundo

View attachment 393968sikutaka tuwe na post leo..ilikuwa tupumzike..mishemishe za kilingeni jana zilikuwa si haba
Lakini hebu tujadili kidogo hili la maiti(sio marehemu)
Maiti ni mzoga pumzi ikishatoka imetoka kinachofuata ni mchakato wa kuanza kuoza/kuvunda, kuharibika na baadae kuwa mabaki ya mwili na vile utakavyozikwa navyo kama ukibahatika kuzikwa (si kila mmoja anajaaliwa mazishi)
Pamoja na mazishi ya gharama sana pamoja na majeneza ya thamani kubwa pamoja na kuzikwa na Vito na vitu vingine vya thamani..kilichofutikwa humo ni uvundo mtupu......
Ukishafukiwa kifuatacho ni uvundo tuu hadi nyama zote zitakapoliwa na funza na bakteria chini ya ardhiView attachment 393975
Upuuzi wa wengi ni pale marehemu kabla ya kifo chake Kuteseka na kuugua sana bila misaada ya ndugu na marafiki...ama la kwa wale wanaojiweza kufanya mazishi ya kufuru kwenye mwili unaooza
Dhima ya kufanya yote haya ninini?
Sifa?
Upendo?
Kujali?
Kumbukumbu?
Kuiga?
Kila mmoja wetu anaweza kuwa na jibu lake lakini vyovyote iwavyo tukubali tukatae kufuru kwenye mzoga wakati kuna watu bado wana uhitaji ni laana
Mimi huwa mgumu sana kutoa rambirambi. Kwann mgonjwa taarifa hazitoki kwa sauti kuliko umauti??

Unafiki wa mwanadamu ni laana ya ulimwengu.
 
Mimi huwa mgumu sana kutoa rambirambi. Kwann mgonjwa taarifa hazitoki kwa sauti kuliko umauti??

Unafiki wa mwanadamu ni laana ya ulimwengu.
Unafiki wa mwanadamu ni laana ya ulimwengu.
 
Back
Top Bottom