Mp19
JF-Expert Member
- May 3, 2019
- 259
- 715
Kweli mkubwa dawa.
Mkubwa anakuwa dawa kwakuwa ameona na kusikia mambo mengi, kwayo huweza kutumika kama dawa kwa tatizo la mtu mwingine.
Kisa hiki kilitokea Lindi , Nachingwea 2013 ambapo Mch. mmoja wa FULL GOSPEL FELLOWSHIP alimwambia mkewe kuwa atakuwa na maombi ya mkesha wiki mzima peke yake huku mama mmoja muumini wake akamwambia mumewe kuwa wanamkesha kanisani mpaka SAA 6 wiki mzima. Mume wake hakuwa mlokole.
Sasa wakawa wanakutana wiki ile, walipofika siku ya 3 wakabambwa na mwenye mke.
Nguvu ya fedha ikatumika, mjamaa kapewa fedha usiku kwa usiku yakaisha ila watu kadhaa waliziona zile purukushani.
Wakatangaza kuwa pastor ameshikwa ugoni.
Lile tukio lilitokea mwanzoni mwa weekend, Jumapili pastor wa mtaa wa tatu akawa ndiye muhubiri katika mahubiri ya Jumapili na somo alilipa kichwa hiki " MASEMANGO, KUSINGIZIWA NI KAMA POVU LA SABUNI" somo hili lilikuwa na lengo la kumlinda pastor mwenyeji .
Kwa lililotokea huko kwa Gwajima Leo ambapo askofu Zakaria Kakobe kupanda madhabahuni na kuanza kupangua hoja za kumlinda askofu Gwajima nazidi kupatwa na shaka kuwa huenda Gwajima kahusika katika video maarufu Tz iliyotoka majuzi. May be kamwalika ili amsitiri.
Mkubwa anakuwa dawa kwakuwa ameona na kusikia mambo mengi, kwayo huweza kutumika kama dawa kwa tatizo la mtu mwingine.
Kisa hiki kilitokea Lindi , Nachingwea 2013 ambapo Mch. mmoja wa FULL GOSPEL FELLOWSHIP alimwambia mkewe kuwa atakuwa na maombi ya mkesha wiki mzima peke yake huku mama mmoja muumini wake akamwambia mumewe kuwa wanamkesha kanisani mpaka SAA 6 wiki mzima. Mume wake hakuwa mlokole.
Sasa wakawa wanakutana wiki ile, walipofika siku ya 3 wakabambwa na mwenye mke.
Nguvu ya fedha ikatumika, mjamaa kapewa fedha usiku kwa usiku yakaisha ila watu kadhaa waliziona zile purukushani.
Wakatangaza kuwa pastor ameshikwa ugoni.
Lile tukio lilitokea mwanzoni mwa weekend, Jumapili pastor wa mtaa wa tatu akawa ndiye muhubiri katika mahubiri ya Jumapili na somo alilipa kichwa hiki " MASEMANGO, KUSINGIZIWA NI KAMA POVU LA SABUNI" somo hili lilikuwa na lengo la kumlinda pastor mwenyeji .
Kwa lililotokea huko kwa Gwajima Leo ambapo askofu Zakaria Kakobe kupanda madhabahuni na kuanza kupangua hoja za kumlinda askofu Gwajima nazidi kupatwa na shaka kuwa huenda Gwajima kahusika katika video maarufu Tz iliyotoka majuzi. May be kamwalika ili amsitiri.