jana wananchi wengi wa dodoma tuliokusanyika nje ya ukumbi wa bunge tukisubiri kuingia ndani ya mjengo kutoa madukuduku yetu juu ya mswada wa kuunda katiba mpya ambao kimsingi unanuka madudu tupu. tuliambulia kupigwa mabomu ya machozi na kukimbizwa kana kwamba sisi ni wageni na sio watanzania..... IMENIUMA SANA