PreGE2025 Kiliba: Wanavyuo tunaposema tunamuhitaji Rais Samia arudi madarakani tuna hoja za msingi

PreGE2025 Kiliba: Wanavyuo tunaposema tunamuhitaji Rais Samia arudi madarakani tuna hoja za msingi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Vijana haswa hawa viongozi wa chuo wanajisahau sana baadaye wakirudi mtaana wanaanza kulalamika tena kwa hivi sasa wana platform wanaishia kuimba mapambio.
===
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za elimu ya Juu Nchini Ndugu Geofrey Kiliba akizungumza na viongozi WA Serikali y Wanafunzi Mkoani Kilimanjaro Tarehe 22 Aprili 2025.

Miongoni mwa mambo aliyyataja yaliyofanyw ana Rais Samia ni kuongeza fedha ya kujikimu (boom) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu pamoja na mkopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati.

 
Vijana haswa hawa viongozi wa chuo wanajisahau sana baadaye wakirudi mtaana wanaanza kulalamika tena kwa hivi sasa wana platform wanaishia kuimba mapambio.
===
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za elimu ya Juu Nchini Ndugu Geofrey Kiliba akizungumza na viongozi WA Serikali y Wanafunzi Mkoani Kilimanjaro Tarehe 22 Aprili 2025.

Miongoni mwa mambo aliyyataja yaliyofanyw ana Rais Samia ni kuongeza fedha ya kujikimu (boom) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu pamoja na mkopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati.

View attachment 3312880
Arudi kwao Zanzibar atawasaidia sana.
 
Vijana haswa hawa viongozi wa chuo wanajisahau sana baadaye wakirudi mtaana wanaanza kulalamika tena kwa hivi sasa wana platform wanaishia kuimba mapambio.
===
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za elimu ya Juu Nchini Ndugu Geofrey Kiliba akizungumza na viongozi WA Serikali y Wanafunzi Mkoani Kilimanjaro Tarehe 22 Aprili 2025.

Miongoni mwa mambo aliyyataja yaliyofanyw ana Rais Samia ni kuongeza fedha ya kujikimu (boom) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu pamoja na mkopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati.

View attachment 3312880
Uchawi+uchawa+uchale
 
Vijana haswa hawa viongozi wa chuo wanajisahau sana baadaye wakirudi mtaana wanaanza kulalamika tena kwa hivi sasa wana platform wanaishia kuimba mapambio.
===
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za elimu ya Juu Nchini Ndugu Geofrey Kiliba akizungumza na viongozi WA Serikali y Wanafunzi Mkoani Kilimanjaro Tarehe 22 Aprili 2025.

Miongoni mwa mambo aliyyataja yaliyofanyw ana Rais Samia ni kuongeza fedha ya kujikimu (boom) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu pamoja na mkopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati.

View attachment 3312880

Basi mwambieni aweke tume huru ili mmchague kihalali.

Kwani shida iko wapi?
 
Vijana haswa hawa viongozi wa chuo wanajisahau sana baadaye wakirudi mtaana wanaanza kulalamika tena kwa hivi sasa wana platform wanaishia kuimba mapambio.
===
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za elimu ya Juu Nchini Ndugu Geofrey Kiliba akizungumza na viongozi WA Serikali y Wanafunzi Mkoani Kilimanjaro Tarehe 22 Aprili 2025.

Miongoni mwa mambo aliyyataja yaliyofanyw ana Rais Samia ni kuongeza fedha ya kujikimu (boom) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu pamoja na mkopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati.

View attachment 3312880
Hv mnamuhitaji kwa jambo jipi la maana alikofanya,?
Nyerere, alijenga foreign diplomacy ya nguvu sana, TZ tuliogopwa kila kona kwa usalama,
Akaja mwinyi anafanya mageuzi makubwa ya uchumi huria, vyombo vya habari binafsi, Mkapa, akaunda,TRA, Tan loads, mapato ya nchi yakakua, kikwete demokrasia ikakua, Maghu akaweka nidhamu ya watumishi, na akaondoa urasimu,
Sasa samia anajua nini, kurembua macho na kulia Lia,
Kwangu Mimi samia, ni, academic dwarf
 
Na kibaya wao ni wawakilishi wa wanafunzi wenzao, wanafanya wenzao wote waonekane kuwa ni waimba mampambio
Wanapenda mkuu now days utavikuta vina sema wao ni watoto wa mama vichawa vichaga. Sahv vina aminishwa kuwa ni rahisi ila wakimaliza chuo watajua ni ngumu
 
Acha aje awe mwana NETO ataelewa tu faken
Mkuu ao wanapewa haadi ya Ajira, ukiona kwenye Kundi lolote linasifia CCM Viongozi wanakua wanalipwa posho lakini awa wengine wafuasi wao wanakua na Maisha magumu tu. Ni sawa na Siasa za Zanzibar kule CCM inamfumo wake wa ajira kwa vijana wa Zanzibar, Kila kijana anaetaka kuajiliwa na Serikali lazima ajiunge CCM kwenye tawi la eneo lake analoishi na awe ana uzuria kwenye Mambo ya Chama, Ndiyo maana unapawaona Vijana wa CCM kwenye Mikutano yao au Kwenye Mkutano wa Raisi wale Vijana upeo wao unakua mdogo walicho aminishwa ni watapatiwa ajira za Majeshi yetu mfano Polisi. Ndiyo Maana Vijana wengi kwenye Mambo ya CCM ni wale wanaotoka familia zenye Uchumi duni na Elimu duni, uwezi kukuta Vijana wa Viongozi wa Serikali wapo wanapigwa na jua wala kukuta wakisema Mama hana deni.
 
Vijana haswa hawa viongozi wa chuo wanajisahau sana baadaye wakirudi mtaana wanaanza kulalamika tena kwa hivi sasa wana platform wanaishia kuimba mapambio.
===
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za elimu ya Juu Nchini Ndugu Geofrey Kiliba akizungumza na viongozi WA Serikali y Wanafunzi Mkoani Kilimanjaro Tarehe 22 Aprili 2025.

Miongoni mwa mambo aliyyataja yaliyofanyw ana Rais Samia ni kuongeza fedha ya kujikimu (boom) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu pamoja na mkopo kwa wanafunzi wa vyuo vya kati.

View attachment 3312880
He should stfu
 
Mkuu ao wanapewa haadi ya Ajira, ukiona kwenye Kundi lolote linasifia CCM Viongozi wanakua wanalipwa posho lakini awa wengine wafuasi wao wanakua na Maisha magumu tu. Ni sawa na Siasa za Zanzibar kule CCM inamfumo wake wa ajira kwa vijana wa Zanzibar, Kila kijana anaetaka kuajiliwa na Serikali lazima ajiunge CCM kwenye tawi la eneo lake analoishi na awe ana uzuria kwenye Mambo ya Chama, Ndiyo maana unapawaona Vijana wa CCM kwenye Mikutano yao au Kwenye Mkutano wa Raisi wale Vijana upeo wao unakua mdogo walicho aminishwa ni watapatiwa ajira za Majeshi yetu mfano Polisi. Ndiyo Maana Vijana wengi kwenye Mambo ya CCM ni wale wanaotoka familia zenye Uchumi duni na Elimu duni, uwezi kukuta Vijana wa Viongozi wa Serikali wapo wanapigwa na jua wala kukuta wakisema Mama hana deni.
Kweli mkuu hili lipo wazi
 
Back
Top Bottom