PostGE2025 Kiliba: Kutomtii Rais Samia ni kukiuka maagizo ya Mungu

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Geofrey Kiliba, amewataka Watanzania kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na wasaidizi wake wote, akisisitiza kuwa kufanya hivyo ni wajibu wa kiraia na pia ni takwa la maandiko matakatifu.

Akizungumza na wanahabari siku ya Jumapili, Kiliba amesema ushirikiano kwa viongozi wa nchi ni jambo la msingi kwa amani, ustawi na maendeleo ya taifa, huku akiwahimiza wananchi pia kuwaombea viongozi katika utekelezaji wa majukumu yao.

Ameeleza kuwa kwa mujibu wa imani ya Kikristo, kutii mamlaka ni agizo la Mwenyezimungu mwenyewe, akinukuu maandiko matakatifu yanayobainisha kuwa hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu. Amesema kutotii mamlaka ni kwenda kinyume cha maagizo ya Mungu aliyempa mwanadamu neema ya kuishi katika nchi aliyoiumba


Your browser is not able to display this video.
 
Ku*"!$-&#)$/)#m?:!"!#@#+y,!@&$))(!;;" %zako shetani Kiliba
 
Huyu kilibatumbo anatakiwa akamatwe apigwe ngenya hazarani
 
Hawa waseenge watembelewe haraka na kutiwa mimba.
 
Kichwa chake huyo jamaa kimejaa mavi nadhani.

98% walipmpgia kula, wakimtii Kuna shida ?
 
Mamamaeeee wallah daaah....eti huyu naye si kwmb hajui kwmb ccm wameiba uchaguz na uchaguz haujafanyka na hakunaga MUNGU anayebariki mauaji, upotoshaji, uwongo na unafiki ila kaamua kumuwekamo MUNGU ili eti ajaribu kupotosha watanganyika ionekane serikali ni halali kikubwa anajtengenezea mazingira ya kupata teuzi.
 
 
Hii takataka eti ndio anawaongoza wanachuo.
Huyu alitakiwa awe analima mpunga huko mbarali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…