asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Tusubiri siku mwisho wake.
Wote tutawahukumu.
Wote tutawahukumu.
Alishakalishwa chini huyo... Chezea sisiemu wewe!!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Huyu mama, aliyeyekuwa anajipambanua kuwa ni kiboko ya mafisadi, mbona kwenye hili saga hajaongea chochote?
Pia naomba kujua, kwanini waliojitangaza kugombea uraisi, waliopo bungeni, mbona hawaonyesha upande wao kwenye hili sakata?
Huyu Mama yeye alishakwapua zamani hela zake na wanawe (sio Le Mutuz) alipewa sanduku na Mhindi ampelekee mgombea huko Dodoma walipofika Mikese wakadai wametekwa na majambazi na hela yote kuibiwa, Mzee wa watu alilia sana na akakosa kuteuliwa.
Huyu Mama ana Hotel kubwa sana maeneo ya Airport karibu na Dodoma Inn akishirikiana na Mkibosho mmoja mwenye City, anaDuka kubwa la nguo (za Wedding)
Kwa hiyo hawezi piga kelele kwani huenda alishamegewa hii kitu escrow tangu January mwaka huu kwani ni mjana sana kwa vitisho, asingekaa kimya
Kamati ya bunge nishati na madini
1.Mh Victor Mwambalasa ( mb Lupa) Mwenyekiti
2.Mh Ndasa - Makamu mwenyekiti
3.Mh Anne Killango Malecela -mjumbe
-
-
-
-
-
-
-
-
Na ikumbukwe kuwa Mh Mwambalasa ni mjumbe wa bodi ya Tanesco chini ya mwenyekiti maj gen mstaafu Mboma.Na jambo la kustaajabisha gwiji la sheria Dr Harrison Mwakyembe hakuchangia hoja wala kutoa msaada wa kisheria kuhusiana na mapendekezo ya kamati.
Mbombo ngafuuuu..
cc: Pasco wa Jf
Huyu mama, aliyeyekuwa anajipambanua kuwa ni kiboko ya mafisadi, mbona kwenye hili saga hajaongea chochote?
Pia naomba kujua, kwanini waliojitangaza kugombea uraisi, waliopo bungeni, mbona hawaonyesha upande wao kwenye hili sakata?
Kamati ya bunge nishati na madini
1.Mh Victor Mwambalasa ( mb Lupa) Mwenyekiti
2.Mh Ndasa - Makamu mwenyekiti
3.Mh Anne Killango Malecela -mjumbe
-
-
-
-
-
-
-
-
Na ikumbukwe kuwa Mh Mwambalasa ni mjumbe wa bodi ya Tanesco chini ya mwenyekiti maj gen mstaafu Mboma.Na jambo la kustaajabisha gwiji la sheria Dr Harrison Mwakyembe hakuchangia hoja wala kutoa msaada wa kisheria kuhusiana na mapendekezo ya kamati.
Mbombo ngafuuuu..
cc: Pasco wa Jf