Kilango Malecela na sakata la Tegeta Escrow

Kilango Malecela na sakata la Tegeta Escrow

Kimsingi hapo sasa Le mutuz atamwita nani Nape? Baba wa kambo au? Maana huyu ni mama wa kambo, halafu huyu ni mshika wa mama wa kambo?
Azimio la Baraza la JF; JF kwa mamlaka iliyonayo inaazimia na kupendekeza kuwa Le mutuz amwite Nape kwa jina la " Uncle"

Le Mutuz kanenepeana kama Yule Mnyama koboko anayeishi kwenye maji, Unene wake sasa ni Kama wa Mzee wa Msituni kuchimba Dawa ( Capt Komba ) Tumbo kubwa Kama Sim tank. Mtu akinenepa sana Mafuta hupanda kichwani na kupunguza Uwezo wa kufikiria. Le mutuz sasa anawaza Urithi wa Mali Hana mzuka na Siasa.
 
Kamati ya bunge nishati na madini
1.Mh Victor Mwambalasa ( mb Lupa) Mwenyekiti
2.Mh Ndasa - Makamu mwenyekiti
3.Mh Anne Killango Malecela -mjumbe
-
-
-
-
-
-
-
-
Na ikumbukwe kuwa Mh Mwambalasa ni mjumbe wa bodi ya Tanesco chini ya mwenyekiti maj gen mstaafu Mboma.Na jambo la kustaajabisha gwiji la sheria Dr Harrison Mwakyembe hakuchangia hoja wala kutoa msaada wa kisheria kuhusiana na mapendekezo ya kamati.

Mbombo ngafuuuu..

cc: Pasco wa Jf
Kweli hakusikika kusema chochote
 
Kuna aliyemsikia January Makamba?hivi kwanza alikuwepo kwenye vikao hivi vya ESCROW?huyu dogo nadhani hafai kabisa hata kufikiriwa tu nafasi ya Uraisi,nadhani ni mtu anaye condone mambo ya Kifisadi.Huu ulikuwa wakati wake muafaka wa kuonyesha watanzania msimamo wake kwenye kupinga ufisadi,bahati mbaya hakuona umuhimu wa huu mjadala in relation to 2015 election.Sikuwahi kuvutiwa na Mwigulu lakini this time ameanza kuni impress

January makamba kalelewa kisiasa na mzee wa Tezi Dume,huwezi kumweka mbali na ufisadi ukizingatia Tezi Dume na familia yake walivyobobea kwenye ufisadi si rahisi kwa January makamba kuongelea escrow kama alivyofanya mwiguru.Wakuu au umesahau ule mchango wa $$$ aliomba dada ili kufinance kampeni zake?
 
Kuna habari kuwa mama Kilango aliugua kichwa kibao mithili ya kuchanganyikiwa. Huenda alitakiwa apunzike kuongea. Ila siasa ziogope sana.
 
Kuna wabunge ukimya wao ulikua na sauti kubwa sana. Kwa kidhungu wanasema Their silence was deafening!

Na ndio mliowataja humu.
 
Alishakalishwa chini huyo... Chezea sisiemu wewe!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
Sophia Simba alimfunulia madhambi yake yote ikiwemo kuhongwa fedha na jeetu Patel..kama mnakumbuka alitekwa kwenye lile pori kabla ya kufika Morogoro mjini akitokea Dar..watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi lkn kuna tetesi kuwa walikuwa ni watu wa usalama, kwanza walionja lile tunda la Adamu na Eva halafu wakamnyang'anya fedha zote ambazo zilikuwa zitumike kuhonga wajumbe wa mkutano mkuu.

 
Kamati ya bunge nishati na madini
1.Mh Victor Mwambalasa ( mb Lupa) Mwenyekiti
2.Mh Ndasa - Makamu mwenyekiti
3.Mh Anne Killango Malecela -mjumbe
-
-
-
-
-
-
-
-
Na ikumbukwe kuwa Mh Mwambalasa ni mjumbe wa bodi ya Tanesco chini ya mwenyekiti maj gen mstaafu Mboma.Na jambo la kustaajabisha gwiji la sheria Dr Harrison Mwakyembe hakuchangia hoja wala kutoa msaada wa kisheria kuhusiana na mapendekezo ya kamati.

Mbombo ngafuuuu..

cc: Pasco wa Jf
Point of Correction: Ni Jenerali Mstaafu Mbona na sio Meja Jenerali Mstaafu
 
Last edited by a moderator:
Kamati ya bunge nishati na madini
1.Mh Victor Mwambalasa ( mb Lupa) Mwenyekiti
2.Mh Ndasa - Makamu mwenyekiti
3.Mh Anne Killango Malecela -mjumbe
-
-
-
-
-
-
-
-
Na ikumbukwe kuwa Mh Mwambalasa ni mjumbe wa bodi ya Tanesco chini ya mwenyekiti maj gen mstaafu Mboma.Na jambo la kustaajabisha gwiji la sheria Dr Harrison Mwakyembe hakuchangia hoja wala kutoa msaada wa kisheria kuhusiana na mapendekezo ya kamati.

Mbombo ngafuuuu..

cc: Pasco wa Jf
Point of Correction: Ni Jenerali Mstaafu Mbona na sio Meja Jenerali Mstaafu
 
Last edited by a moderator:
Mwacheni shangazi! Alichofanyiwa baada ya zile siku alivocharuka bungeni, ni Mungu tu anajua. Kwanza ni jasiri hata kuwa anaendelea kuja mjengoni!!
Hii nchi wacha bana!
Sijui kina Zitto, Lissu, Mnyika, Kafulile, Deo e.t.c. wana kinga gani? Mbowe najua wanamwogopa, jamaa ni mafia to the core. Lakini hao wenzangu na mimi. Mh. Labda ma Zitto kwa teknolojia ya kiafrika.
 
Kuna habari kuwa mama Kilango aliugua kichwa kibao mithili ya kuchanganyikiwa. Huenda alitakiwa apunzike kuongea. Ila siasa ziogope sana.

mcheku kwishney abakie huko huko kwa kina agwe thithi baba dhake tushapata mbunge mwingine 2015
 
Ila mama Kilango ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa kikao cha maridhiano hapo jana kama nilimsikia hivyo Wassira akisema.
 
Mwacheni shangazi! Alichofanyiwa baada ya zile siku alivocharuka bungeni, ni Mungu tu anajua. Kwanza ni jasiri hata kuwa anaendelea kuja mjengoni!!
Hii nchi wacha bana!
Sijui kina Zitto, Lissu, Mnyika, Kafulile, Deo e.t.c. wana kinga gani? Mbowe najua wanamwogopa, jamaa ni mafia to the core. Lakini hao wenzangu na mimi. Mh. Labda ma Zitto kwa teknolojia ya kiafrika.

walimfanya nini?
 
alikuwepo bungeni kama vile amemwagiwa maji, na kama vile mdomo umewekwa plasta.

Nasikia alikuwa anazunguka mchana na usiku kwa wabunge Pinda asing'olewe. Hataki yamkute ya Lowassa. Raha yake Lowassa pekee yamkute hayo si mwingine. Anamchukia Lowassa sijui mwakani atakimbilia wapi jamaa atakapochukua nchi
 
Ila mama Kilango ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa kikao cha maridhiano hapo jana kama nilimsikia hivyo Wassira akisema.

Hiyo inaitwa mchawi mkabidhi mwanao
 
Back
Top Bottom