Kilango Malecela na sakata la Tegeta Escrow

Kilango Malecela na sakata la Tegeta Escrow

Huyu mama, aliyeyekuwa anajipambanua kuwa ni kiboko ya mafisadi, mbona kwenye hili saga hajaongea chochote?


Pia naomba kujua, kwanini waliojitangaza kugombea uraisi, waliopo bungeni, mbona hawaonyesha upande wao kwenye hili sakata?

Ameshapigwa Pini Kupitia Kwa Mumewe Ambaye Nae Pia Ni Mmoja Wa Mafias Wa Nchi Hii.
 
Huyo ni mganga njaa tu. Alikuwa anatafuta channel sasa kaipata, ametuliza njaa yake.
 
Hii ngoma ya escrow inaonyesha viongozi wengi wa ccm wanainusa. Sasa wanaogopana
 
Jamani kama hakuna hakika na alipo si tu Muulize mwanawe anashinda hapa jamvini.
 
Huyu Mama Kazeeka jamani, hata busara zimezeeka anangoja kipindi chake kiishe tu amlee mzee.
 
Kwani lazima aseme ,kitu cha uongo asante mama Anne kilango.
 
Jamani kama hakuna hakika na alipo si tu Muulize mwanawe anashinda hapa jamvini.

Toka atoe ule uzi wa mafisa waliokula hela wahukumiwe hajaonekana tena sijui kafungiwa chumbani na bi mkubwa .
 
alikuwepo bungeni kama vile amemwagiwa maji, na kama vile mdomo umewekwa plasta.
 
Alishakalishwa chini huyo... Chezea sisiemu wewe!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Inasemekana ''alitembea'' na Nape. na Mwigulu anao mkanda. alimwambia akiongea chochote kuhusu ufisadi anamlipua

Kimsingi hapo sasa Le mutuz atamwita nani Nape? Baba wa kambo au? Maana huyu ni mama wa kambo, halafu huyu ni mshika wa mama wa kambo?
Azimio la Baraza la JF; JF kwa mamlaka iliyonayo inaazimia na kupendekeza kuwa Le mutuz amwite Nape kwa jina la " Uncle"
 
Huyu mama, aliyeyekuwa anajipambanua kuwa ni kiboko ya mafisadi, mbona kwenye hili saga hajaongea chochote?


Pia naomba kujua, kwanini waliojitangaza kugombea uraisi, waliopo bungeni, mbona hawaonyesha upande wao kwenye hili sakata?

Hao marais watarajiwa wako kimya kwasababu nao wanavi-escrow account waliko sambaratisha hela za kampeni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom