KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
Huyu mama, aliyeyekuwa anajipambanua kuwa ni kiboko ya mafisadi, mbona kwenye hili saga hajaongea chochote?
Pia naomba kujua, kwanini waliojitangaza kugombea uraisi, waliopo bungeni, mbona hawaonyesha upande wao kwenye hili sakata?
Pia naomba kujua, kwanini waliojitangaza kugombea uraisi, waliopo bungeni, mbona hawaonyesha upande wao kwenye hili sakata?