Sailor Boy
Senior Member
- Nov 25, 2010
- 103
- 5
wana jf nisaidieni nina gf wangu ambae tumekaa nae mda mrefu, ila ckuizi kuna tatizo linanisumbua kila tunapo have sex lazima atoke dam tatizo ni nini naombeni ushauri.
weka wazi anatoka damu sehemu gani? Mdomoni? Puani? Masikioni?
Ulishamuona dr wamagonjwa ya wanawake?
Kama bado hujamuona dr tafadhari nenda hima!!!
wana jf nisaidieni nina gf wangu ambae tumekaa nae mda mrefu, ila ckuizi kuna tatizo linanisumbua kila tunapo have sex lazima atoke dam tatizo ni nini naombeni ushauri.
wana jf nisaidieni nina gf wangu ambae tumekaa nae mda mrefu, ila ckuizi kuna tatizo linanisumbua kila tunapo have sex lazima atoke dam tatizo ni nini naombeni ushauri.