Huyo demu ni mhuni unatakiwa kumwambia unapokuwa uwanja wa mapenzi hapo siyo mahakamani kusikiliza kesi au kusuluhisha migogoro.
Sema inaonekana huna uzoefu wa kutosha na wanawake, mpe live kama ataendelea na kukubania kukojoa kwa raha zako aende kwa wanaume wengine watakuwa wanamuhudumia na hatimaye awaachie mbuchuchu waikojolee bila hayomasharti.
Mwisho jombaa kavu noma labda muwe mmepima hasa kwa hao warembo kila mmoja anawataka ale kavu kavu tena ukizingatia kidemu chenyewe kidemu cha mizinga.
We jamaa unapenda kuhonga sana.
Huu sio mwezi wa sita ni wa nne.
mbona hukunialika harusini aisee au na wewe ulibanwa kwa style hii?
Hahahaaaaaaaaaaa! SPEND THAT MONEY BOY! IF IT CAN BUY YOU HAPPINESS WHY NOT?
On second thoughts stop being a sisy!!!!!! Dawa yake ndogo sanaaa, unangoja keshavua nguo unachimba mkwara mzito! " Mimi pesa sina kipindi hiki, so kama unataka tustarehee tuendeleee kama unaona mapenzi pesa VAA PICHU YAKO UENDEEE! Mambo yako ya kitoto yamenichoshaaaaa!" Baaaaaaass!
Utamuona litakavomshukaaaa!
Hapo ni kweli kama zipo for sale inabidi watoe na kabang!!wewe sio kwmaba tunapenda kuhonga....papuchi for sale hapa mtaani ndugu yangu. either way utahonga tuu