safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,192
- 15,876
Hakuna chakula kibaya,usianze propaganda hapa.Unakula aina gani ya chakula?
Kuna watu wembamba wanakula kila chakula kilichokatazwa.
Na kuna watu wanene wanakula kila chakula kilichoshauriwa.
Hakuna chakula kibaya,usianze propaganda hapa.Unakula aina gani ya chakula?
Kitambi kuondoa kinataka nidhamu iliyokwenda shule aseKilo nimepunguza kutoka 90 hadi 80 ila kitambi kimegoma kabisa kutoka
Mkuu unene ni physical sio mental na solution lazima iwe physical sio spiritual, am a student of realism theory sio idealism theory.Physical
Mentally
Spiritually
Sasa wewe ume deal na physical hizi nyingine nani akusaidie
Hatari ipi mbona guy mnataka kufanya exagulations alarmist, hatari ipi?Una Hatari Sana
Una urefu kiasi gani ?Maziwa sina yale ya kunenepea kifuani ila sehemu zingine ni kiasi sio vya kutisha.
MkuuHatari ipi mbona guy mnataka kufanya exagilations alarmist, hatari ipi?
Hiyo shape ni hatari kua na kakitambi kuchomoza wakati sehemu nyingine ndo huo muonekano unakua wa wanywaji wa pombe ni mbayaKilo nimepunguza kutoka 90 hadi 80 ila kitambi kimegoma kabisa kutoka
Mbona hivyo vichagamoto vya kitoto watu tuna chagamoyo zaidi ya hizo ila hatupungui, kukonda kwasbb ya ngoma ni vijana wasio miliki pesa na mali kuna chagamoto ngoma ni cha mtoto.PIGA DEMU INAYOUZA MWILI KAVU ALAFU PANGA KWENDA KUCHEKI AFYA BAADA YA MIEZI MITATU... NDANI YA MWEZI MMOJA WA MWANZO UTAFANIKIWA KUPNGUZA KG 10 KWA MAWAZO YA JE, KAMA UKIKUTWA NA NGOMA? MATOKEO NI CHAP NA HUNA HAJA YA MAZOEZI ILA ANGALIZO NI KWAMBA "KAMA UKIUKWAA KWELI UTAJUA MWENYEWE" FANYA KAMA UNA-BET TU
Propaganda kwenye chakula tena mkuu?Hakuna chakula kibaya,usianze propaganda hapa.
Kuna watu wembamba wanakula kila chakula kilichokatazwa.
Na kuna watu wanene wanakula kila chakula kilichoshauriwa.
Tumia vyakula Kwa percent kubwa visivyo vya wangaKwa siku 45 ni likua silii mchana na kula tu asubuhi chai ya ragi na sikonzi moja na yai moja mchana na piga ndefu ucku ndo na kula wanga kidogo na chai ndo nalala, kila siku kabla ya kuoga nafanya pushup 30 na kuruka ruka kdgo kwa lengo la kupunguza kilo ni toke 94kg ni rudi 89kg za awali kabla ya holiday.
Jana ndo nilienda kupima nione ni mepungua ngapi on my surprise ni meingia 103kg.
Natimiza hivo unene ni mwili wa mtu na ni majaliwa na kadari za Mungu. Mke wangu anakula mara mbili yangu milo mitatu hadi minne kwa siku ila ana chezea 49kg hadi 55kg ni model kweli kweli ukimuona. Mimi naona ntajiachia tu litakalo kua na liwe buana.
Tell us how to do it plz.Polee sana kiongozi :
Kuna huu ukweli ambao wengi huona kama uongo na kukomalia yanayoandikwa na influencers. Ukweli ni hivi, mazoezi yanamchango kidogo mnoo kwenye kupungua uzito. Tafiti nyingi zimeonyesha mtu ambaye huwa na Nidhamu kwenye chakula hupungua uzito kwa kilo nyingi sana ikilinganishwa na anayefanya mazoezi.
Mazoezi yanasaidia sana katika kuuweka mwili imara na kuzuia kuwepo kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza kama presha ya kupanda.
Ukitaka kupungua uzito kuwa na nidhamu n chakula. Kama unataka kujua namna gani.. Quote hii reply na uulize How.