Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Nikionaga demu mkali naongezaga juhudi kwenye masomo nataka niwe na ela mana hawa asee kama ujasoma na huna ela watakutesa sana.
Yap tumia kama chachu ya kufika mbali. Ukirud mtaan piga kaz ..ili ukae sawaNikionaga demu mkali naongezaga juhudi kwenye masomo nataka niwe na ela mana hawa asee kama ujasoma na huna ela watakutesa sana.
Hayo uliyoyaandika unaweza kumuandikia mwanao???Wenzako wana degree na wapo mtaani hawana ajira,
Walio ishia darasa la saba na form 4, wanasukuma VW na Range, wee endelea kukomaa na shule udhani ndiyo utapata mademu wakali
Mademu hawaangalii elimu uliyo nayo, wanaangalia wallete
Watoto wangu wataishia darasa la saba FEZA PRIMARY SCHOOL inatosha wote wanaingiza kwenye biashara...Hayo uliyoyaandika unaweza kumuandikia mwanao???
Bora umemwambiaWenzako wana degree na wapo mtaani hawana ajira,
Walio ishia darasa la saba na form 4, wanasukuma VW na Range, wee endelea kukomaa na shule udhani ndiyo utapata mademu wakali
Mademu hawaangalii elimu uliyo nayo, wanaangalia wallete
Unasema tuu wewee..Watoto wangu wataishia darasa la saba FEZA PRIMARY SCHOOL inatosha wote wanaingiza kwenye biashara...
au kapiga msuli kazi lini kwenye masomo michezo ya kiistaarabu hiyooHili game ni kismati dogo....ukipata hela zitakuja changamoto za kuliwa demu wako mkalii na houseboy.. hapo utasema houseboy asiye na hela katoa nini?