Kila nikilala naye anataka hela

Kila nikilala naye anataka hela

hujapata jibui tuu kuwa yukoje....ngoja ukose hela kabisa watu wabebe mzigo wapige mabao yao na pesa watoe....we tulia tafuta mtu wa kudumu nae si wa kupiga bao hela bao hela bao hela
 
Malaya huyo mm nikazani anakudai hela ya nauli aje alipo kumbe baada ya mchezo ndo unadaiwa alafu huyo
Malaya grade 1 very expensive sio wale wa buguruni
 
"Ni mwiko kumuhonga demu akitaka anihonge mimi...utamu anaoupata yeye ndo utamu nnaoupata mimi"
 
Nina mpenzi Wangu ambaye kwa muda niliokaa nae naweza kusema amekuwa girlfriend.Tatizo ni kwamba kila nikifanya naye mapenzi lazima adai hela.sasa najiuliza huyu ni gf au changudoa.kila bao nilipie jamani.

http://jobrize.com/index.php?ref=484116
 
usipoteze muda wako,mie nasaidia sana ila msichan anapohitaj pesa ili anivulie ni bora nimpe na nisitembee nae. yan aombe ela na iwe kama hiari yangu kumstiri na kumtunza ila sio kama ananniuzia tena nakwepa mbaali,jiulize akipatikana mwenye kutoa zaid?? huyo anajiuza hana lolote,km buguruni tuu.
 
Back
Top Bottom