Mr.Teacher
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 450
- 176
Acha ubwege bana huyo atakua ni kahaba angalia na mazingira uliyompatia
hizo ni gharama za uendeshaji na ukarabat wa mtambo....vipuri vpo juu sana mkuu lipia 2
Khaa!! Dogo usijali hata waliooa wanalipia tena gharama kubwa kuliko unazolipia wewe. Ila siyo direct saana tena unalipa hata bila kupiga bao wakati mwingine. Ni asili tu ya kibinadamu toka Enzi na Enzi. Kuwa ujifunze :glasses-nerdy:Nina mpenzi Wangu ambaye kwa muda niliokaa nae naweza kusema amekuwa girlfriend.Tatizo ni kwamba kila nikifanya naye mapenzi lazima adai hela.sasa najiuliza huyu ni gf au changudoa.kila bao nilipie jamani.
Bado bill ya kila mwezi hajatuambia ni sh ngapi. Kama halipi bill basi ana bahati.
Alizaliwa hazina huyo, hebu mpe hela asije kufa bure mtoto wa watu.
Una charge kiasi gani kwa bao moja?
Yaishe madam. Nisamehe.
huna demu hapo acha ufalaNina mpenzi Wangu ambaye kwa muda niliokaa nae naweza kusema amekuwa girlfriend.Tatizo ni kwamba kila nikifanya naye mapenzi lazima adai hela.sasa najiuliza huyu ni gf au changudoa.kila bao nilipie jamani.
No free lunch in capitalist Economy... teh teh te
kweli kabisaHuyo sio mke ni mama muuza!!