Kila nikilala naye anataka hela

Kila nikilala naye anataka hela

Tu ina maana ndogo au?k#%@+--****** bora Nipige puchu kwa style hii

Ukipiga mara 4 kwa mwezi,mara 1 ina bao 4,kila bao ni 10,000 kwa mwezi ni 160,000. Bado zile sleep over za kati kati ya wiki. Kwa hiyo kwa mwezi unaeza jikuta unalipia 200 na ushee..

Nakushauri uoe tu Mkuu.
 
Nina mpenzi Wangu ambaye kwa muda niliokaa nae naweza kusema amekuwa girlfriend.Tatizo ni kwamba kila nikifanya naye mapenzi lazima adai hela.sasa najiuliza huyu ni gf au changudoa.kila bao nilipie jamani.
Mnamakubaliano gani juu ya mustakabali wa mapenzi yenu?kama hamna mipango au malengo mbele ya safari mpo kwa ajili ya kutimiza hisia zenu endelea kuvumilia,lkn kama mna mpango wa kuja kuoana basi hapo huna mpenzi,badili maamuz haraka iwezekanavyo
 
Itakuwa wewe ni bahili sana na hujiongezi kwa kutoa huduma ndiyo maana na yeye kamua kuanzisha huo mkakati. Nipe nikupe.
 
  • Thanks
Reactions: pnk
Nina mpenzi Wangu ambaye kwa muda niliokaa nae naweza kusema amekuwa girlfriend.Tatizo ni kwamba kila nikifanya naye mapenzi lazima adai hela.sasa najiuliza huyu ni gf au changudoa.kila bao nilipie jamani.

Sasa kama huwa unampa hizo hela na Mnaenjoy wote Unalamika nini jamaa??? Tufanyeje sisi?

Si ungemuuliza yeye kuwa ni changu au la? Au ungetumia tu akili kupima na kujua kuwa yupo kwenye kundi lipi?

Mbona ni issue ndogo Mkuu?
 
Ukipiga mara 4 kwa mwezi,mara 1 ina bao 4,kila bao ni 10,000 kwa mwezi ni 160,000. Bado zile sleep over za kati kati ya wiki. Kwa hiyo kwa mwezi unaeza jikuta unalipia 200 na ushee..

Nakushauri uoe tu Mkuu.

Nataka nikuoe wewe miss Rose
 
Jana kaniambia vipi nije.nikamwambia Sina hela akakata simu


are you serious nmecheka sana huyo ndo mwanamke looh akupe bureee umemuoa? mme mwenyewe siku hajaacha hela ya matumizi akigusa kiuno anaambulia kipepsi sembuse gf
 
Umesema kweli nahs ni bahili ndio maana mdada kaamua kumuanzishia bill ya ivo.
Itakuwa wewe ni bahili sana na hujiongezi kwa kutoa huduma ndiyo maana na yeye kamua kuanzisha huo mkakati. Nipe nikupe.
 
Ivi kwanin utake sex badala ya kukazania upate jiko ndani? Safi sana kwa huyo dada lazima afanye ivo il upate uchungu wa pesa na uoe mapema kulko kubakia unazini ovyo.
 
Safi Sana maana Kuoa hamuoi,huyo dada Ni mfano WA kuigwa
 
Kama mleta mada ni Mwanaume, itakuwa umejiweka Kivulana kwa huyo mwenzako.
 
Back
Top Bottom