Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 4,038
- 3,034
Changudoa mzoefu huyo
Nina mpenzi Wangu ambaye kwa muda niliokaa nae naweza kusema amekuwa girlfriend.Tatizo ni kwamba kila nikifanya naye mapenzi lazima adai hela.sasa najiuliza huyu ni gf au changudoa.kila bao nilipie jamani.
Tshs 10000 kila bao
Nina mpenzi Wangu ambaye kwa muda niliokaa nae naweza kusema amekuwa girlfriend.Tatizo ni kwamba kila nikifanya naye mapenzi lazima adai hela.sasa najiuliza huyu ni gf au changudoa.kila bao nilipie jamani.
Jana kaniambia vipi nije.nikamwambia Sina hela akakata simu
Huyu demu mchana plate namba nyekundu, usiku nyeupe. Endelea tu kulipia maana ndo bei zao hadi asubuhi 40000/- hiyo unayolipa.Mabao 4 kila tendo kwa hiyo elfu arobaini inahusika kila nikilala naye
Atakuzalia kwa bei gani?Mara tano au sita kwani kanihaidi atanizalia mtoto
Wa 10000 tu unalalamika humu jf, sasa subiri gharama za missyrose mbona utabadili chu..pi.. sasa hivi.Nataka nikuoe wewe miss Rose
mwaj wa ukweli umetisha, ila mimi niliwahi mapema nikamfungulia biashara na hela anabeba yeye mie naendelea na mishemishe zangu. Usiku ni mwendo wa kupapasa kiuno hakuna maswali ya hela ya mboga.are you serious nmecheka sana huyo ndo mwanamke looh akupe bureee umemuoa? mme mwenyewe siku hajaacha hela ya matumizi akigusa kiuno anaambulia kipepsi sembuse gf
Bado bill ya kila mwezi hajatuambia ni sh ngapi. Kama halipi bill basi ana bahati.Tanesco wanaziita gharama za Uendeshaji