Kila nikilala naota nafanya mapenzi

Kila nikilala naota nafanya mapenzi

Huwa unakumbuka style yako ya kulala ikoje? Ni chali, kifudifudi, ubavu au unainama?
 
leo nimejaribu kulala tumbo juu chali lakini hali hii imenitokea nakula mzigo na wazungu waleee
Basi kuna ndoa umefunga pasipo kujua. Na mkeo huja usiku ili kupata haki yake, unatakiwa kutumia imani yako kuondokana na hilo tatizo.
 
hii inanisumbua sana siku hizi mara kadhaa nikilala naota nafanya mapenzi na nikishtuka tu tayari wazungu washatoka mda mrefu na nakuwa nimeshaloa sasa nashindwa kuelewa nini tatizo la hizi ndoto nyevu za mara kwa mara...
Utakuwa umeathurika na punyeto.Unahitaji ushauri nasaha
 
Raha ya hii ndoto inakuepusha na magonjwa na gharama jivunie ulichonacho
 
Hii ishu nashangaa watu wanaihusisha na majini.

Sipingi imani yenu.

Lakini niliwahi ishi sehemu nikawa sina mpenzi kwa kuhofia ukimwi as hilo eneo ni top kwa ukimwi hapa nchini.

Miezi 2 tangu niwe pale nikaanza ndoto nyevu, ndani ya wiki inatokea zaidi ya mara 1. Kumbuka tuliambiwa wet dreams hua na interval kubwa.
Lakini pale haikua hivyo.

Halafu sasa kumbe vijana wote tuliokua pale tuliokua tunapitia ishu hiyo hiyo.

Huyo jini ana K ngapi za kumpa kila mtu at the same day? Mzee hicho ni kichupa, fanya uoe
 
Uwe unavaa ndomu kabisa kabla ya kulala
 
Back
Top Bottom