Kila nikilala naota nafanya mapenzi

Freightliner

JF-Expert Member
Aug 22, 2013
720
522
hii inanisumbua sana siku hizi mara kadhaa nikilala naota nafanya mapenzi na nikishtuka tu tayari wazungu washatoka mda mrefu na nakuwa nimeshaloa sasa nashindwa kuelewa nini tatizo la hizi ndoto nyevu za mara kwa mara...
 
hii inanisumbua sana siku hizi mara kadhaa nikilala naota nafanya mapenzi na nikishtuka tu tayari wazungu washatoka mda mrefu na nakuwa nimeshaloa sasa nashindwa kuelewa nini tatizo la hizi ndoto nyevu za mara kwa mara...
Sali kabla ya kulala.
 
Sayansi inasema ndio umevunja ungo. Aah imetoka wapi tena ungo... Kws jinsia yako hizo ni dalili za umebalehe eti!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom