Lukaku Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 843
- 742
Hio gharama ya kumpata dem mpya mbona uzidi Pesa apatyoHii umekuwa Mara kadhaa/Mara kwa. Mara nikilala na demu yeyote mpya Mara ya kwanza ama ya pili lazma kesho yake nipate hela au deal la hela
Siku ya kufunga mwaka Kama kawaida yetu kuwapanga kwny foleni,Kuna demu alpangika na siku hyo nilkuwa naelekea home mkoani kwenda kuzindua mwaka na ndg zangu ikabidi nimpange demu mmoja wa njiani ili nkifika mahali pale tuonane kweli akajaa nkafika pale majira ya saa 12 jion akasema baadae atakuja nkamwelekeza npo hoteli gan akafka ..kilichokusudiwa kikafanyika ... nkamwambia my niendelee na safari usiku huu ? Akaulza
Nkajibu ndio ....
Utapata usafiri gan mda huu maana saa tatu kasoro mda huu?
Nikifika stendi magari ya masafa marefu ndio yanaingia Basi akasema haya mi narud home geti Kali wakiamka tuamke wote,nkamwambia poa ...
Safari ikaanza ile nafka stendi tu gari hlo njiapanda safari ikaendelea. Baada ya mda nkapata sms M_pesa ,imedhibitishwa kiasi Cha 50,000/= imetumwa kwangu na mm mda ule sikuwa na mtu naemdai ikabid niiweke M_pawa papohapo ....
Baadae kdgo Kama dakika 5 hvi jamaa akapga akisema amekosea kutuma hela
Nkamuulza kiasi gani akasema 50k
Akasema "ndg hyo hela nilkuwa namtumia mama yupo Dar anakwenda mbeya yaani anarud kutoka matibabuni ninakuomba Kama unaweza kunisaidia kunirudshia"
Akaendelea "Kama hutojali kata Tsh 15000/ then nirudishie japo 35000/ nkaona sio kesi nkamtumia 35000/
Hii Hali ya kupata hela umekuwa inaendelea sana
True anawahi kuvuta kwengineHili swala la demu kusema anawahi nyumbani kwao, sijui eti kwao ni geti kali.
Muangalie sana demu wa hivyo,
Usishangae kukuta ni wale wanaosimama pale kimboka!
Asa huwa simaindigi madem Ila Basi tu napenda businesses,sema demu akijua ww businessman anahakiksha umekuwa karbu nae japo akupe tunda Mara moja akjua utamtafta tu Tena ukilihitaji...Kama ushagundua hilo ya nn kuhangaika na maisha?
Kula dem mpya kwako kila siku
Duu...mungu anisamehe aisee asa dhambi gani kumpenda mtoto wa kike ni kosa eeh au kulala nae na kupata hela ndio chanzo
gest nkalipia elfu kumi afu skulala nkaendelea na safari....demu nkamwachia buku tano tu sababu wakat nafahamiana nae aliwahi kuniambia nimsaidie hela yupo hospital nkamtumia elfu kumi .....Hio gharama ya kumpata dem mpya mbona uzidi Pesa apatyo
Umeingiza shs ngapi hadi sasagest nkalipia elfu kumi afu skulala nkaendelea na safari....demu nkamwachia buku tano tu sababu wakat nafahamiana nae aliwahi kuniambia nimsaidie hela yupo hospital nkamtumia elfu kumi .....
Kumdhulumu mwenzio hela ilokosewa na akakuomba kabisa umrejeshee na nia ya hyo pesa kakuambiaDuu...mungu anisamehe aisee asa dhambi gani kumpenda mtoto wa kike ni kosa eeh au kulala nae na kupata hela ndio chanzo
Mkuu mpaka uconclude inabidi uwe na mifano mingi. Hapa umetoa mmoja tu!!Hii umekuwa Mara kadhaa/Mara kwa. Mara nikilala na demu yeyote mpya Mara ya kwanza ama ya pili lazma kesho yake nipate hela au deal la hela
Siku ya kufunga mwaka Kama kawaida yetu kuwapanga kwny foleni,Kuna demu alpangika na siku hyo nilkuwa naelekea home mkoani kwenda kuzindua mwaka na ndg zangu ikabidi nimpange demu mmoja wa njiani ili nkifika mahali pale tuonane kweli akajaa nkafika pale majira ya saa 12 jion akasema baadae atakuja nkamwelekeza npo hoteli gan akafka ..kilichokusudiwa kikafanyika ... nkamwambia my niendelee na safari usiku huu ? Akaulza
Nkajibu ndio ....
Utapata usafiri gan mda huu maana saa tatu kasoro mda huu?
Nikifika stendi magari ya masafa marefu ndio yanaingia Basi akasema haya mi narud home geti Kali wakiamka tuamke wote,nkamwambia poa ...
Safari ikaanza ile nafka stendi tu gari hlo njiapanda safari ikaendelea. Baada ya mda nkapata sms M_pesa ,imedhibitishwa kiasi Cha 50,000/= imetumwa kwangu na mm mda ule sikuwa na mtu naemdai ikabid niiweke M_pawa papohapo ....
Baadae kdgo Kama dakika 5 hvi jamaa akapga akisema amekosea kutuma hela
Nkamuulza kiasi gani akasema 50k
Akasema "ndg hyo hela nilkuwa namtumia mama yupo Dar anakwenda mbeya yaani anarud kutoka matibabuni ninakuomba Kama unaweza kunisaidia kunirudshia"
Akaendelea "Kama hutojali kata Tsh 15000/ then nirudishie japo 35000/ nkaona sio kesi nkamtumia 35000/
Hii Hali ya kupata hela umekuwa inaendelea sana
Dogo umenivunja mbavu zanguHili swala la demu kusema anawahi nyumbani kwao, sijui eti kwao ni geti kali.
Muangalie sana demu wa hivyo,
Usishangae kukuta ni wale wanaosimama pale kimboka!
Kukosea mbona kupo tu .....Tena Bora yeye kasema nikate hyo hela ili ajifunze kukoseaNimejisikia vibaya sana, yaani mtu kakosea kutuma hela halafu unamkata?
Sent using Jamii Forums mobile app