Lukaku Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 843
- 742
Hii umekuwa mara kadhaa/mara kwa mara nikilala na demu yeyote mpya mara ya kwanza ama ya pili lazima kesho yake nipate hela au deal la hela.
Siku ya kufunga mwaka kama kawaida yetu kuwapanga kwenye foleni. Kuna demu alipangika na siku hyo nilkuwa naelekea home mkoani kwenda kuzindua mwaka na ndugu zangu ikabidi nimpange demu mmoja wa njiani ili nikifika mahali pale tuonane kweli akaja nikafika pale majira ya saa 12 jioni akasema baadae atakuja nikamuelekeza nipo hoteli gani akafika na kilichokusudiwa kikafanyika.
Nikamwambia my niendelee na safari usiku huu? Akauliza. Nikajibu ndio.
Utapata usafiri gani muda huu maana saa tatu kasoro muda huu? Nikifika stendi magari ya masafa marefu ndio yanaingia Basi akasema haya mimi narudi home geti kali wakiamka tuamke wote, nikamwambia poa.
Safari ikaanza ile nafika stendi tu gari hilo njiapanda safari ikaendelea. Baada ya muda nikapata sms M-Pesa, imedhibitishwa kiasi Cha 50,000/= imetumwa kwangu na mimi muda ule sikuwa na mtu ninayemdai ikabidi niiweke M-Pawa papo hapo.
Baadae kidogo kama dakika 5 hvi jamaa akapiga akisema amekosea kutuma hela, nikamuuliza kiasi gani akasema 50,000.
Akasema "Ndugu hiyo hela nilkuwa namtumia mama yupo Dar anakwenda Mbeya yaani anarud kutoka matibabuni ninakuomba kama unaweza kunisaidia kunirudishia".
Akaendelea "Kama hutojali kata Tsh 15000 then nirudishie japo 35000 nikaona sio kesi nkamtumia 35000.
Hii Hali ya kupata hela umekuwa inaendelea sana.
Siku ya kufunga mwaka kama kawaida yetu kuwapanga kwenye foleni. Kuna demu alipangika na siku hyo nilkuwa naelekea home mkoani kwenda kuzindua mwaka na ndugu zangu ikabidi nimpange demu mmoja wa njiani ili nikifika mahali pale tuonane kweli akaja nikafika pale majira ya saa 12 jioni akasema baadae atakuja nikamuelekeza nipo hoteli gani akafika na kilichokusudiwa kikafanyika.
Nikamwambia my niendelee na safari usiku huu? Akauliza. Nikajibu ndio.
Utapata usafiri gani muda huu maana saa tatu kasoro muda huu? Nikifika stendi magari ya masafa marefu ndio yanaingia Basi akasema haya mimi narudi home geti kali wakiamka tuamke wote, nikamwambia poa.
Safari ikaanza ile nafika stendi tu gari hilo njiapanda safari ikaendelea. Baada ya muda nikapata sms M-Pesa, imedhibitishwa kiasi Cha 50,000/= imetumwa kwangu na mimi muda ule sikuwa na mtu ninayemdai ikabidi niiweke M-Pawa papo hapo.
Baadae kidogo kama dakika 5 hvi jamaa akapiga akisema amekosea kutuma hela, nikamuuliza kiasi gani akasema 50,000.
Akasema "Ndugu hiyo hela nilkuwa namtumia mama yupo Dar anakwenda Mbeya yaani anarud kutoka matibabuni ninakuomba kama unaweza kunisaidia kunirudishia".
Akaendelea "Kama hutojali kata Tsh 15000 then nirudishie japo 35000 nikaona sio kesi nkamtumia 35000.
Hii Hali ya kupata hela umekuwa inaendelea sana.