my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
Kua na mwanamke mzuri mrembo ni ndoto ya kila mwanaume kama ilivo kwa mwanamke kuolewa au kuwa na uhusiano na mwanaume tajiri anaejua kutumia pesa.
Na ndo mana mwanaume akioa wakat akiwa masikini akija kupata pesa lazma aje atafute mwanamke mzuri ambae mwanzo alikua awez kua nae kwasababu alikua masikini. Ila wanaume wengi wanapenda kusema mwanamke tabia ila kiuhalisia moyo wao hausemi ivo.
Kutokua na pesa na kukosa confidence ndo kunawafaya waseme ivo. Kumiliki mwanamke mrembo mzuri inahitaj mwanaume awe na confidence sio wale wanaopenda kulalamika kama wanaume wa umu jamii forums awana confidence ata kidogo mpk wanatia huruma. I wish mngekua mnajua mwanamke anavofeel anapokua na mwanaume mwenye confidence na pesa. Ata niwaeleze vp amuezi elewa kazi bure!
Na ndo mana mwanaume akioa wakat akiwa masikini akija kupata pesa lazma aje atafute mwanamke mzuri ambae mwanzo alikua awez kua nae kwasababu alikua masikini. Ila wanaume wengi wanapenda kusema mwanamke tabia ila kiuhalisia moyo wao hausemi ivo.
Kutokua na pesa na kukosa confidence ndo kunawafaya waseme ivo. Kumiliki mwanamke mrembo mzuri inahitaj mwanaume awe na confidence sio wale wanaopenda kulalamika kama wanaume wa umu jamii forums awana confidence ata kidogo mpk wanatia huruma. I wish mngekua mnajua mwanamke anavofeel anapokua na mwanaume mwenye confidence na pesa. Ata niwaeleze vp amuezi elewa kazi bure!

