Bunchari
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 489
- 531
Habari wakuu
Naishi chumba kimoja kisicho na upenyo wa kupitisha kitu chochote kuingia ndani,leo siku ya tatu nimekumbwa na tatizo la kukuta magamba ya samaki makavu kitandani,huwa sina mahusiano mazuri na mama mwenye nyumba kuna uwezekano anaingia kwangu kichawi napokua sipo????
Naishi chumba kimoja kisicho na upenyo wa kupitisha kitu chochote kuingia ndani,leo siku ya tatu nimekumbwa na tatizo la kukuta magamba ya samaki makavu kitandani,huwa sina mahusiano mazuri na mama mwenye nyumba kuna uwezekano anaingia kwangu kichawi napokua sipo????