Kila mwanaume ninayempata namkifu mapema

Kila mwanaume ninayempata namkifu mapema

Sio kweli kwamba wanaume wengi wana dyudyu ndogo ila wewe ndiye utakua una handaki kubwa. Acha kulalamika weka limao kit**bo kirudi kwenye hali yake ya zamani.
Hahahahahaaa! Noma Sana
Hata hivyo uume mkubwa sio kwamba unaridhisha
Niujanja wa mtu tu
 
pole sana hilo si tatizo ila kunapoelekea litakuwa tatizo kubwa sana...na mbaya zaidi huwezi kumpima mtu mwenye tango kwa kumuangalia...utalikuta jitu limejazia six park sijui kumbe ndo lina mzinga wa kibamia kama kidole cha mwisho chamsingi tafuta mr.right wako kisha mjenge unavyotaka wewe awe ila hawa wa kujaribu jaribu watakuharibu hisia za ngono bure mwisho wa siku hutopata raha kwenye tendo la ngono
Umeongea pointi ndugu yangu naomba nikuulize kama hutojali hivi mtu aliyepoteza hisia kabisa kiasi ambacho jogoo hawiki kunauwezakano wa kurudi hali yake?
 
Umeongea pointi ndugu yangu naomba nikuulize kama hutojali hivi mtu aliyepoteza hisia kabisa kiasi ambacho jogoo hawiki kunauwezakano wa kurudi hali yake?
Inawezekana...ila siwezi kutoa asilimia nyingi katika hilo wengi wanalifanikisha kwa mbinu mbadala....kutokana na jinsi mtu tatizo lilivyomuathiri
 
Sometimes nyinyi ndio mna master cylinder kubwa , mtu hadi hamu ya kuendelea inaisha. Lazima nigeukie ukutani ntafanyaje sasa
 
Hili jikwaaa sasa limeingiliwa hatutasikia tena issue ya Lema na kina Saanane kila kukicha ni hanifikishi kileleni sijui nini mmmhhh balaaa hili
 
Najiuliza tuu hivi nini kilichopo akilini mwangu, maana kila napompata mwanaume namkifu mapema tuu baada ya kudo na mimi haswa napokua faragha nikakuta ni mvivu, hana mzigo wa haja, huwa namdharau sana hivi kwanini baadhi ya vijana wanakua walaini hivi? Yaani kabao kamoja tuu hoi kuendelea na round ingine inakua ndoto wanakua wabinafsi akimaliza tuu anageukia ukutani.
****.ninna,mbona sikutani na madem wa aina hii.
 
Najiuliza tuu hivi nini kilichopo akilini mwangu, maana kila napompata mwanaume namkifu mapema tuu baada ya kudo na mimi haswa napokua faragha nikakuta ni mvivu, hana mzigo wa haja, huwa namdharau sana hivi kwanini baadhi ya vijana wanakua walaini hivi? Yaani kabao kamoja tuu hoi kuendelea na round ingine inakua ndoto wanakua wabinafsi akimaliza tuu anageukia ukutani.
Ili kumpa mshawasha inabidi kabla ya kudo,wewe anza kugeukia ukutani uone joto ya jiwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom