Kila mwanaume ninayempata namkifu mapema

Kila mwanaume ninayempata namkifu mapema

Huyu dada ana tatizo nikama mgonjwa ambaye bila sindano anaona hajatibiwa akipewa kidonge anajisikia hajapona. Anahitaji ushauri wa kisaikolojia atakuwa okay
 
Tatizo lipo kwako labda una manyama mengi huko chini na itakuwa jinsi unavyojiweka. Mimi huwa nakutana na wanawake wengi tu ambao ukimwambia atanue miguu aining'inize juu umpe mambo anakataa..kwa hiyo mwanaume sehemu kubwa ya kiungo chake inaishia kwenye manyama ya nje ya uke.

Hapo ndipo unapohisi jamaa ana kiungo kidogo... acha kunyoosha miguu
Duuh! Nimecheka sana. Ila sio vizuri kutoa siri
 
Najiuliza tuu hivi nini kilichopo akilini mwangu, maana kila napompata mwanaume namkifu mapema tuu baada ya kudo na mimi haswa napokua faragha nikakuta ni mvivu, hana mzigo wa haja, huwa namdharau sana hivi kwanini baadhi ya vijana wanakua walaini hivi? Yaani kabao kamoja tuu hoi kuendelea na round ingine inakua ndoto wanakua wabinafsi akimaliza tuu anageukia ukutani.
Aisee! Kama hiyo avatar ndio ulivyo, hao vijana nadhani ni wehu.
 
Nimefurahi mpaka nikatamani nikutumie my bolo Upime je Ni kubwa au ndo afadhali ya Jana,,Ila Una hela? Sio tena na hela nikupe na kukukuna nikukune,,Maana huo utakuwa unyonyaji wa Serikali ya jpm,,,Niambie nikutumie WhatsApp,, fasta Langu Kubwa kama hawa Dada wa Machimboni huwa wanarudisha pesa,,so ni Pm,No zako
 
Sio kweli kwamba wanaume wengi wana dyudyu ndogo ila wewe ndiye utakua una handaki kubwa. Acha kulalamika weka limao kit**bo kirudi kwenye hali yake ya zamani.
 
Najiuliza tuu hivi nini kilichopo akilini mwangu, maana kila napompata mwanaume namkifu mapema tuu baada ya kudo na mimi haswa napokua faragha nikakuta ni mvivu, hana mzigo wa haja, huwa namdharau sana hivi kwanini baadhi ya vijana wanakua walaini hivi? Yaani kabao kamoja tuu hoi kuendelea na round ingine inakua ndoto wanakua wabinafsi akimaliza tuu anageukia ukutani.
Kama kweli unataka kushughulikiwa ipasavyo nichek pm utaenda kusimulia..
 
Huenda labda wao(wanaume)ndio wanakukifu k imeota sigda kutoka na na msuguo
 
Kubwa au ndogo yote ni majaliwa tu la muhimu ni kujua jinsi ya kuitumia na kujipimia upendavyo lakini kubwa Katika yote ni hisia so kama huna hisia na huyo unaekutana nae hata kama anayo kama punda hutoenjoy
Speakin from experience...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom