Kila mwanamke ninayemfuata

Kila mwanamke ninayemfuata

tatizo unaenda umepanic sana yale mambo hayaitaji papara suala la kovu sio shida tena ukija kwangu ndo litakalonivutia panga mistari shusha pumzi relax njoo uone kama ntakuakatalia
 
Hiyo id name yako tu ni noma.. ukiona hivyo hujapata yule wako ukimpata tu she will not disappoint you
 
Heri ya Mwaka mpya wana Jamvi wote.

Mimi ni kaka ninaye anza kutimiza miaka thelathini tangu kuzaliwa kwangu.Sasa kiukweli nimebahatika kupata kakibarua sehemu fulani huku Mjini.sasa naamini ni wakati muafaka wa mimi kutafuta mwenza wa Maisha.

Nimechelewa kidogo, tatizo linakuja pale ambapo najaribu kuwafuata wasichana kila ninaye mueleza azma yangu ananiambia pole kaka nishawahiwa na wengine wanadiriki kunitukana matusi . Ni idadi kubwa sana ya wasichana nimewafuata bila mafanikio sura yangu ni ya kawaida tu haitishi ingawa nina kovu kidogo kwenye paji la uso.

Nimekuwa mpweke sana na hii imepelekea niwe mwanachama mzuri wa kimboka kona bar na sehemu zingine kama hizo, naona ndoa kwenye vyombo vya habari wanandoa wana pendeza kweli kweli nimekija humu kuombaushauri wenu ninakosea wapi.

Labda kwaajili ya ID yako mkuu
 
Nahisi unachagua sana, then unavamia watu ambao si level zako..zama za kutukanwa coz umemtongoza ni za kale sana. Mademu wako wengi but wife material ni wachache sana, so mwombe Mungu huku ukiwa umetuliza akili zako huku ukifanya mambo yako mengine
King' a adomaa. Hhawata Honda? Kamata fursa hyo
 
tatizo unaenda umepanic sana yale mambo hayaitaji papara suala la kovu sio shida tena ukija kwangu ndo litakalonivutia panga mistari shusha pumzi relax njoo uone kama ntakuakatalia

naona kama ushamkubalia vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom