Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,119
- 27,933
Hivi wanaume mbaki wenyewe kuna club, bar mkae bila wanawake baada ya mwezi si zaidi ya nusu
mtakuwa michicha pori tu, angalia wajane na wagane nani wanaishi wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
mtakuwa michicha pori tu, angalia wajane na wagane nani wanaishi wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app