Kila Mwanadamu Ni Chizi

Kila Mwanadamu Ni Chizi

CHA The GREAT

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
651
Reaction score
854
Kila Mwanadamu Ni Chizi...

Amini usiamini, kubali usikubali, kila mtu ni chizi, hata wewe unayesoma post hii ni chizi, hata mimi niliyeandika post hii ni chizi; ispokuwa, uchizi wetu umetofautiana. Wapo ambao ni asilimia mia moja machizi (wendawazimu), na wapo wenye uchizi kwa kiwango cha kawaida (kama mimi). Wapo wenye kiwango cha kati cha uchizi, wapo wenye kiwango kinachokaribia asilimia mia moja na wapo wenye uchizi kwa asilimia zote. Hii maana yake tuna wanasiasa machizi, wanamuziki machizi, wanamichezo machizi, madaktari machizi, walimu machizi, maaskari machizi (ila uchizi huo ni kwa viwango tofauti). Rejea dhana ya 'yin yang' ama dhana ya 'dualism'.

Je, unaweza kukadiria kiwango cha uchizi wako ni asilimia ngapi?
 
Labda nikadirie kiwango cha uchizi wako n 70%
Majibu na uthibitisho wa ninachosema vinaonekana kwako issa mweusi. Umeambiwa ukadirie kiwango cha uchizi wako, ila wewe umejibu kinyume kabisa. Huu nao ni uchizi.......Pole sana issa mweusi, naona uchizi wako upo kwenye highest stage.
 
kwhyo babaako na mamaako wamezaa mchizi?
 
Kamakila mwanadamu ni chizi, uchizi si uchizi, uchizi zaidi ndiyo uchizi.

Na uchizi unavyozidi kuongezekandivyo uchizi mkubwa unavyozidi kuwa mdogo na kukubalika kuwa si uchizi, uchizi mwingine mkubwa zaidikugundulika na kuwa uchizi wa kawaida na mwishowe kuwa si uchizi.

Case in point, zamani ilikuwa ajabu kusikia habari za watu kwenda chumvini. Siku hizi ni sifa.

Zamani viongozi walikuwa na muonekano wa busara na hekima, hata usemaji wao ulipimwa vizuri, siku hizi viongozi wanajiropokea tu wanavyotaka.

Ni Second Law of Thermodynamics at work.

The Second Law of Thermodynamics states that in all energy exchanges, if no energy enters or leaves the system, the potential energy of the state will always be less than that of the initial state.
 
Mada Nyingine ni upuuuzi tuuu

Kidume cha Mbegu,' unasema mada nyingine ni upuuzi tuuu'. Ebu, linganisha mada yako uliyoiweka hapa JF (kama ilivyoambatanishwa hapo chini), tarehe 23-December-2015, na mada yangu uone ya nani ya kipuuzi. Usiwe mwepesi na kukurupuka kujibu, maana jamii itakustaajabu na kutilia shaka utendaji kazi wako wa ubongo. Au ndiyo kusema your 'uchizi' is at the highest stage?
Kidume.PNG
 
mie sijaelewa kwa nini umeiweka dualism kwenye mfano wako wa uchizi,embu nifafanulie,hilo swali nililikwepa,ila ningependa nijifunze plz,halafu nakufollow

Cc ;@Dexterious
 
Majibu na uthibitisho wa ninachosema vinaonekana kwako issa mweusi. Umeambiwa ukadirie kiwango cha uchizi wako, ila wewe umejibu kinyume kabisa. Huu nao ni uchizi.......Pole sana issa mweusi, naona uchizi wako upo kwenye highest stage.
Poa
 
Back
Top Bottom