kila mwaka mpya unapoanza bei ya umeme hupanda kwanini?

Eddy Love

JF-Expert Member
Jul 25, 2011
13,652
8,542
sijawai kusikia umeme umeshuka bei toka nazaliwa mpaka nimekua mkubwa badala yake kila mwaka unapoanza umeme unapanda bei pamoja na bidhaa nyingine kibao ,je, sababu ni nini haswa au kuna upigaji hapa unaendelea?
 
Back
Top Bottom