Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Kila mtu anatamani kujua kama mke/mume,mpenzi kama anampenda na pia anampenda kiasi gani.Bahati mbaya huwezi kujua KAMWE,utapoteza muda wako bure.Mpaka unaenda kaburini hautojua.Kwanza haikuhusu,inayokuhusu ni wewe kupenda.Unaweza kupata mwanga kidogo kwenye matendo yake,lakini hapo kuna mkanganyiko,wengine wana matendo fake,wengine ni wagumu kama jiwe wengine hawaeleweki.We amua tu kupenda,kama unafikiri unaweza kujua kinachoendelea kwenye moyo wa mwenzako jaribu kujua uone!