Askarimaji
JF-Expert Member
- Jan 28, 2016
- 257
- 622
- Thread starter
- #221
Daaaah....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu hakuna papuchi ya peke yako....kwani kitu kizuri ni sharti ule na wenzako....hata siku moja huwezi kuwaelewa wanawake wanataka nini........ukiwa masikini ni tabu atagongwa na wauza genge,wenye hela,bodboda, bosi kazini etc...
Ukiwa na hela nayo ni tabu manake kuna uwezekano ukawa bize na usimtosheleze haja zake hivyo atatafuta mtu wa pembeni awe house boy , dereva wa nyumbani, washkaji nk ili agongwe kisawasawa tena kwa kutumia hizohizo hela zako ....
Sisi wengine tumeamua kulea tu watoto wetu vizuuri na kurushia kwa mbali...kwa mfano hapa nilipo kuna mke wa mtu kwao wanakila kitu lyaani wanajiweza sana tu lakini jamaa yake yupo bize na masafari ya kibiashara hivyo kaniomba sana sana kesho niwe naye kama Valentine wake( kaweka booking nisimuangushe) ameniambia ana surprise yangu...hao ndiyo wanawake halisi
Sent using Jamii Forums mobile app