Tuko pamoja mtani.Pamoja na utani wetu wa jadi, bado mchezo wa leo una maana kubwa sana kwa nchi na hasa kwa maisha ya wachezaji wenyewe wa Simba wanaovuja jasho. Kwa mantiki hiyo, nawatakia kheri.
NaaamTuko pamoja mtani.
Angalau wewe una fununu juu ya nini hasa maana ya watani wa jadi
Poa ikumbukwe kuwa Waarabu wanaudhi sana. Ni vema wasimamishweTuko pamoja mtani.
Angalau wewe una fununu juu ya nini hasa maana ya watani wa jadi
Utani si uadui, wewe unaelewa maana ya utani wa jadi, asante kututakia kheri, Insha AllahPamoja na utani wetu wa jadi, bado mchezo wa leo una maana kubwa sana kwa nchi na hasa kwa maisha ya wachezaji wenyewe wa Simba wanaovuja jasho. Kwa mantiki hiyo, nawatakia kheri.
SawaUnafiki tu ndo mnauweza kubwa jinga fc a.k.a utopolo
a.k.a chura mgongo wazi fc
Naunga mkono hojaPamoja na utani wetu wa jadi, bado mchezo wa leo una maana kubwa sana kwa nchi na hasa kwa maisha ya wachezaji wenyewe wa Simba wanaovuja jasho. Kwa mantiki hiyo, nawatakia kheri.
Ni kheri piaNi 4 kwa 2 kisha penalti.
Kolo watabahatisha kwenye penati na watavuka kwa style hii.