matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,583
- 15,351
- Thread starter
- #21
Mpe hii dingi. kama anauwezo watoto mle raha mkuu. sio sisi tunatembea kwa mguu umbali mrefu ili nauli ununue MUA njiani.Hahaha million 40? Hapana
hahaha
Mpe hii dingi. kama anauwezo watoto mle raha mkuu. sio sisi tunatembea kwa mguu umbali mrefu ili nauli ununue MUA njiani.Hahaha million 40? Hapana
tulikuwa hatulali wale wote ambao hatujavisitiwa,tukisikia trunk linafunguliwa tunakimbilia.Hahahaaa bila shaka mkuu sasa umefungua maktaba.
salimia kwanza mkuu dogo.1960 uwiii.
Baba yangu huwa ananihadithia alikuwa anatembea km 15 kwenda shule hapo bado kurudi.Mpe hii dingi. kama anauwezo watoto mle raha mkuu. sio sisi tunatembea kwa mguu umbali mrefu ili nauli ununue MUA njiani.
hahaha
Ila wanaume nyie hata msipotembelewa.tulikuwa hatulali wale wote ambao hatujavisitiwa,tukisikia trunk linafunguliwa tunakimbilia.
nilivigawa tu kwa masela
hataree sana , tuko na wazee wetu humu aisee!1960 uwiii.
Kweli mkuu . baba yangu mwenyewe kazaliwa 1969hataree sana , tuko na wazee wetu humu aisee!
tunapaswa tu-activate discipline mode aisee!Kweli mkuu . baba yangu mwenyewe kazaliwa 1969
mimi muhenga saizi ya kati, nilikuwa natembea mguu kama km 7 ila nilikuwa nashortcut zangu kupita milimani lkm kama 5.Baba yangu huwa ananihadithia alikuwa anatembea km 15 kwenda shule hapo bado kurudi.
Aise nyie wahenga mlitaabika sana.
mtoto akiisha soma hizo shule zenu hata awe wa kiume asipotembelewa ananuna tu.Ila wanaume nyie hata msipotembelewa.
Nyie mnajua kuvumilia.
watoto wa shule za kikatoliki huwa wametulia, hata kama anajua umombo hana fujo sana kusumbua watu ,uzuri form 1 nilisoma shule ya kikatoliki,zaidi ya asilimia 70 ya walikuwa wazungu kwa kidogo walitusaidia na sisi wa shule ya msingi tujue(kwa mbali) english.
member wa JF anamzidi baba yetu. hata ukimkuta humu mze usihangae kama kaka zake wapo.Kweli mkuu . baba yangu mwenyewe kazaliwa 1969
na pale masista walitusaidia kinomawatoto wa shule za kikatoliki huwa wametulia, hata kama anajua umombo hana fujo sana kusumbua watu ,
hahahahatunapaswa tu-activate discipline mode aisee!
mkuu kwelimtoto akiisha soma hizo shule zenu hata awe wa kiume asipotembelewa ananuna tu.
Dogo langu moja tulikuwa tunalikodia TAX kulipeleka shule wakati hiyo shule ilipo na tulipokuwa ukitembea ni DAKIKA5 tu.
Tatizo siku ya kufungua wenzake wote wanaletwa nan Magari. Kwa hiyo na yeye alikuwa anauzishwa sura kidogo ili asipanic.
hahah
wapole sana huwa hamna makuu. Ila mkitoka seminarini mkaiona dunia wengine hupinda kupitiliza.na pale masista walitusaidia kinoma
mkuu ulikuwa kibonge nini?M ninachokumbuka ni siku ya kwanza kuingia darasa la kwanza baada ya kumaliza vidudu, nilienda na ubabe wangu wa vidudu matokeo yake nilirud nyumb na manundu ya kutosha usoni, Mather aliumia sana ila kuanzia bro , sister na mshua kila wakiniangalia nilivyovimbishwa wanakufa kwa kicheko. Yule jamaa alienipigaga drsn alikua hamnazo ila sijui kaptia njia gan huko asaiv ni mjeda, kwa kpgo kile JKT limepata mtu hawakukosea
si ndio form 2 wanavyojiita ati form 10, nahisi walimaanisha darasa la 10hahaha eti form 10