Mwanambugulu
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 666
- 814
Mkuu umenikumbusha tabora mambo ya sorokoto hahahahawala usipime mkuu, nakumbuka wakati naanza form one milambo tabora alikuwepo msukuma 1 wa bariadi anajiita form ten, alinipa shs 1 na kusema anataka sigara 5, kipande kimoja cha sabuni kisha nirudishe chenji yake shs 100, ikabidi zinitoke za kwangu na shs 100 nikampa, ilikuwa mwaka 1991, wale watoto wa kikwete hawajakumbana na haya mambo,enzi hizo tunaitwa nyoya, sorokoto, nguruwe, kwani akili zetu zilikuwa zinafananishwa na nguruwe, manake tukiulizwa what is the molecular formula hatujui hivyo tukawa tunafananishwa na nguruwe,